Waajiliwa hakuna wanachowaza zaidi ya kuongezwa mshahara tu. Ndugu zangu waajiliwa jiongezeni hata kwenye ufugaji na kilimo mshahara hauongezwi mpaka mwakani muhula wa mwisho kipaumbele ni kwenye mirad ya ujenz tu.
Kilimo ukimuamini mtu unapigwa..!dah!changamoto sana!
Wameziba masikio na macho