Naona ule usemi "maneno ya mkosaji", story ni nzuri na huo ndio uamuzi wake, tuheshimu maamuzi ya mtu, atakayehitaji atanunua tuu ndio ukweli, huwezi ukawa mpenzi wa story halafu ubanie kutoa 10,000 kununua kitabu ambacho umeshaanza kupata utamu wake. Kama imekuboa wewe susa wengine wale. Eddy...