Ajali ya lori na DCM eneo la External jijini Dar yaua

Ajali ya lori na DCM eneo la External jijini Dar yaua

Hao abiria wa saa nane na nusu usiku waliokuwa wanatoka wapi na kuelekea wapi?

Nina uhakika dar huwanga unaiona kwenye tv na kenywe magezeti tu., dar es salaam gari za abiria zinafanya kazi masaa 24.
 
Hao abiria wa saa nane na nusu usiku waliokuwa wanatoka wapi na kuelekea wapi?
Hiyo saa nane usiku umeitoa wapi, mbona haijaandikwa? Mda wa kupost si lazima uwe sawa na muda wa ajali. Besides Dar watu wanabiashara zao.
 
Poleni kwa ajali, hiyo DCM ikielekea wapi, Gmboto au Mbagala?
 
Ajali itakuwa kati ya saa 2 na saa 3, maana nilipita hapo saa 4 kasoro, hilo Lori bado lilikuwepo na palikuwa na foleni ndefu na kali sana, DCM sikulikuta nahisi walilitoa ili lisiendelee kuzuia njia.
 
Back
Top Bottom