Nimueleweje na nifanyaje?

Nimueleweje na nifanyaje?

Appreciation!!!!!!!!

Unapofanyiwa jambo zuri na mpenzi wako, show appreciation........... onyesha unajali kwa yeye kuku-care.

Sasa, posts zoooooooooooooote alizosoma jf, hakuna hata moja iliyomfurahisha/elimisha angalau atoe like?

Vivyo hivyo hataweza kuona chochote chema anachofanyiwa na mpenzi wake!


Hata hivyo ameshajifunza, kwani ameshatoa likes 9 kutoka zero, so amefanyia kazi ushauri.

Haya mwalimu. Shukurani pole pole tutafika.
 
Yuko trainining ya kazi yetu maalum huku mbweni akimaliza atakutafuta ondoa shaka

Okay hebu nijuze hiyo training ya kazi. Aaaaahhaa . Huwezi jua labda ni Kweli. Thanks dear .
 
hiko ni kibuti dada kusoma hujui hata picha huoni..loh hebu move on na life yako
 
Join Date : 20th October 2014 Posts : 86

Rep Power : 318
Likes Received 44

Likes Given 9

Nashukuru umebadilika. Umegawa tisa. Hata mahusiano yako yatakuwa poa endapo kuna mambo madogo madogo utaanza kuyarekebisha.


Asante na wewe mwalimu wangu.
 
Hata ningalikua ni mimi yeye ningekuwacha kwa kuwa unaonekana una kichwa ngumu sana kuelewa.... yawezekana amegundua kwa feelings zake hamtaendana na hataki kuku umiza.

Kichwa ngumu yangu iko wapi? Kwamba nifuate kila ninachoambiwa bila kufikiri na kuchanganya na yanayoendana na situation yangu then ndio niweke maamuzi? Hebu nieleze hiyo kichwa ngumu yangu iko wapi. Halafu kumbuka watu tunatofautiana ndugu. Nafsi na mioyo iko tofauti . Nakusikiliza jibu . Asante.
 
matatizo siku zote yanatufanya tukomae kiakili,,chukua mda wako mpendwa yaweza kuwa ana mke..
 
Nimejaribu kutafuta hiko kitufe Hata sikioni . Sijui ni macho yangu au. Asante.
Lakini naona lau umetoa likes 9 kuliko jana ilikuwa ni 0,hiyo inaonyesha umekiona hicho kitufe cha like and you have improved,hongera sister.
 
sasa hapo kuna upendo gani ulopatazaidi ya kujazwa maumivu moyoni?

soma alama za nyakati mwanangu,




Ni Kweli ukisemacho.Lakini kumbuka hela bila furaha moyoni na utu ni kama bure. Hela siku zote zipo utazitafuta , Je upendo na utu unaweza kuvipata kiurahisi kama hela? I doubt it . Asante sana!
 
Aaaaaaaahhhh Asante kwa kunipa smile ndugu Aaaaaaaahaaa !!!

we mwanamke! Hizi sio zama za kulilia na kung'ang'ania mtu ambae keshaonesha dalili kwamba hakujali..just live ur life..he will one day make u do stupid thngs just bcoz u love..wanaume wako weng utampata tu anaekujal..mfano mim niko single(kidding)!
 
Hello wana Jamiiforums

Mimi ni mwanamke Wa miaka 25-30 . Kama miezi kadhaa nimejuana na huyu Kaka ni mkarimu kwa Kweli na ni mcha Mungu, hii ndio sababu kubwa ambayo imenivuta kwake. Kitu ninachokipenda kingine yaani ananifanya na kuwa free kutania na kuchekeshana kwa sana ma hii Mimi huwa Napenda sana.

Okay sababu iliyonileta hapa ni hivi tuna week ya pili sasa inakwenda hela mawasiliano. Ninakuwa Nina wasiwasi kuhusu hali yake kwa maana si kawaida yake .

Nimepiga simu lines zake zote moja inaita ni ya kikazi Inakata tuu haipokelewi na nyingine ni private haupatikaniki. Ikabidi nimtafute Rafiki yake ambaye akishawahi kunitambulisha mwake na wanafanya kazi pamoja . Nimemuuliza akaniahidi kunifuatilia.

Alichoelezwa kawa Huyu MTU amekwenda likizo. Kumbuka hajawahi kuniambia kuhusu hilo na si kawaida yake. Mimi Bado sikuachia hapo nikaendelea kupiga simu ile ya kikazi kuna MTU alipokea mwanamme akaniambia kuwa huyu MTU hayupo.

Elewa Mimi Niko nnje ya Tz kidogo. Nimeandika SMS nyingi hazijibiwi. FB messages pia hazijibiwi . Nimemuomba msamaha nilipomkosea kwenye FB messages na kwenye SMS lakini wapi Bado kimya . Anajibu messages za wengine FB lakini sio zangu.

Leo nimeingia FB kutizama kama messages yeyote lakini Bado hamna lakini niliona aliingia . Baadae tena nikaingia FB tena kwenye kukaa , nikamuona online nikaita jina lake kwenye messenger Wala hajajibu chochote na hakukaa sana akatoka online.

Hebu niambieni wanaume na wanawake wenzangu nifanyeje? Na Je nimemkosea nini Huyu jamaa yangu? Nia yake ni nini ? Je Kweli anania nzuri na Mimi? Saa nyingine natamani nichukue tuu ndege nije lakini siwezi .

Je niwe na subira nae au niendelee na maisha yangu? Kusema Kweli Nina connection nae moyoni . katika mahusiano yetu, pamoja si ya muda mrefu tumeongea mengi sana kuhusu maisha na familia pamoja na maendeleo . Hata sijui nifanyeje.

Na kama amepata mwingine aniambie tuu ili nijue kuliko kuumia moyoni .

Mchepuko Mimi siwezi .

Nawasikiliza ndugu tafadhali.

Asante

pole mwaya mi ishantokea apa nkachuniwa miez 5 ikabd nikae kimya na mm lkn mwsho ake alinitafuta mwenyewe na mi nkamzngua kdogo km alvonfanyia.we tulia usihangaike tna msahau kabsa ivo unavohangauka nae ndo anapata mapembe.
 
Hello wana Jamiiforums

Mimi ni mwanamke Wa miaka 25-30 . Kama miezi kadhaa nimejuana na huyu Kaka ni mkarimu kwa Kweli na ni mcha Mungu, hii ndio sababu kubwa ambayo imenivuta kwake. Kitu ninachokipenda kingine yaani ananifanya na kuwa free kutania na kuchekeshana kwa sana ma hii Mimi huwa Napenda sana.

Okay sababu iliyonileta hapa ni hivi tuna week ya pili sasa inakwenda hela mawasiliano. Ninakuwa Nina wasiwasi kuhusu hali yake kwa maana si kawaida yake .

Nimepiga simu lines zake zote moja inaita ni ya kikazi Inakata tuu haipokelewi na nyingine ni private haupatikaniki. Ikabidi nimtafute Rafiki yake ambaye akishawahi kunitambulisha mwake na wanafanya kazi pamoja . Nimemuuliza akaniahidi kunifuatilia.

Alichoelezwa kawa Huyu MTU amekwenda likizo. Kumbuka hajawahi kuniambia kuhusu hilo na si kawaida yake. Mimi Bado sikuachia hapo nikaendelea kupiga simu ile ya kikazi kuna MTU alipokea mwanamme akaniambia kuwa huyu MTU hayupo.

Elewa Mimi Niko nnje ya Tz kidogo. Nimeandika SMS nyingi hazijibiwi. FB messages pia hazijibiwi . Nimemuomba msamaha nilipomkosea kwenye FB messages na kwenye SMS lakini wapi Bado kimya . Anajibu messages za wengine FB lakini sio zangu.

Leo nimeingia FB kutizama kama messages yeyote lakini Bado hamna lakini niliona aliingia . Baadae tena nikaingia FB tena kwenye kukaa , nikamuona online nikaita jina lake kwenye messenger Wala hajajibu chochote na hakukaa sana akatoka online.

Hebu niambieni wanaume na wanawake wenzangu nifanyeje? Na Je nimemkosea nini Huyu jamaa yangu? Nia yake ni nini ? Je Kweli anania nzuri na Mimi? Saa nyingine natamani nichukue tuu ndege nije lakini siwezi .

Je niwe na subira nae au niendelee na maisha yangu? Kusema Kweli Nina connection nae moyoni . katika mahusiano yetu, pamoja si ya muda mrefu tumeongea mengi sana kuhusu maisha na familia pamoja na maendeleo . Hata sijui nifanyeje.

Na kama amepata mwingine aniambie tuu ili nijue kuliko kuumia moyoni .

Mchepuko Mimi siwezi .

Nawasikiliza ndugu tafadhali.

Asante

pole mwaya mi ishantokea apa nkachuniwa miez 5 ikabd nikae kimya na mm lkn mwsho ake alinitafuta mwenyewe na mi nkamzngua kdogo km alvonfanyia.we tulia usihangaike tna msahau kabsa ivo unavohangaika nae ndo anapata mapembe.
 
pole mwaya mi ishantokea apa nkachuniwa miez 5 ikabd nikae kimya na mm lkn mwsho ake alinitafuta mwenyewe na mi nkamzngua kdogo km alvonfanyia.we tulia usihangaike tna msahau kabsa ivo unavohangaika nae ndo anapata mapembe.

Asante dear. Ndio nimeanza hilo zoezi la kusahau na kumpa muda . Thanks
 
Nahisi wewe ni mwenyeji humu ila umekuja na ID nyingine, siyo mbaya. Jipe muda, muda ni tiba ya kila ugonjwa hapa duniani. Ila in short huyo kaka mpole ameona hakuna jipya kwako, hivi anajipa muda ili aone kama yupo sahihi au lah.

Na wewe kaa kimya endelea na maisha yako tu, kama ipo, ipo tu!

Kwenye bold ,,,,Excellent!!
 
Usipoteze sana mda kumuwaza mtu ambae may be hana future na ww time is limited so kuwa busy na mambo yako acha kumtafuta kwanza uone itakuwaje asipokutafuta tena potezea utapata mwingine.sometimes we need to LEAD our hearts sio kila moyo unachokusukuma kufanya ni sahihi muombe Mungu akusaidie katika hili cos I know how hard it is na be strong.good luck
 
Usipoteze sana mda kumuwaza mtu ambae may be hana future na ww time is limited so kuwa busy na mambo yako acha kumtafuta kwanza uone itakuwaje asipokutafuta tena potezea utapata mwingine.sometimes we need to LEAD our hearts sio kila moyo unachokusukuma kufanya ni sahihi muombe Mungu akusaidie katika hili cos I know how hard it is na be strong.good luck

Asante my dear. Nashukuru sana. Thanks!
 
Cha msingi achana nae ndugu yangu utaumwa kichwa wakati yeye hana muda na wewe tena
 
Hello wana Jamiiforums

Mimi ni mwanamke Wa miaka 25-30 . Kama miezi kadhaa nimejuana na huyu Kaka ni mkarimu kwa Kweli na ni mcha Mungu, hii ndio sababu kubwa ambayo imenivuta kwake. Kitu ninachokipenda kingine yaani ananifanya na kuwa free kutania na kuchekeshana kwa sana ma hii Mimi huwa Napenda sana.

Okay sababu iliyonileta hapa ni hivi tuna week ya pili sasa inakwenda hela mawasiliano. Ninakuwa Nina wasiwasi kuhusu hali yake kwa maana si kawaida yake .

Nimepiga simu lines zake zote moja inaita ni ya kikazi Inakata tuu haipokelewi na nyingine ni private haupatikaniki. Ikabidi nimtafute Rafiki yake ambaye akishawahi kunitambulisha mwake na wanafanya kazi pamoja . Nimemuuliza akaniahidi kunifuatilia.

Alichoelezwa kawa Huyu MTU amekwenda likizo. Kumbuka hajawahi kuniambia kuhusu hilo na si kawaida yake. Mimi Bado sikuachia hapo nikaendelea kupiga simu ile ya kikazi kuna MTU alipokea mwanamme akaniambia kuwa huyu MTU hayupo.

Elewa Mimi Niko nnje ya Tz kidogo. Nimeandika SMS nyingi hazijibiwi. FB messages pia hazijibiwi . Nimemuomba msamaha nilipomkosea kwenye FB messages na kwenye SMS lakini wapi Bado kimya . Anajibu messages za wengine FB lakini sio zangu.

Leo nimeingia FB kutizama kama messages yeyote lakini Bado hamna lakini niliona aliingia . Baadae tena nikaingia FB tena kwenye kukaa , nikamuona online nikaita jina lake kwenye messenger Wala hajajibu chochote na hakukaa sana akatoka online.

Hebu niambieni wanaume na wanawake wenzangu nifanyeje? Na Je nimemkosea nini Huyu jamaa yangu? Nia yake ni nini ? Je Kweli anania nzuri na Mimi? Saa nyingine natamani nichukue tuu ndege nije lakini siwezi .

Je niwe na subira nae au niendelee na maisha yangu? Kusema Kweli Nina connection nae moyoni . katika mahusiano yetu, pamoja si ya muda mrefu tumeongea mengi sana kuhusu maisha na familia pamoja na maendeleo . Hata sijui nifanyeje.

Na kama amepata mwingine aniambie tuu ili nijue kuliko kuumia moyoni .

Mchepuko Mimi siwezi .

Nawasikiliza ndugu tafadhali.

Asante

Ndio umeamua kunitangaza hadi huku?
 
Back
Top Bottom