mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Kaulize kwanini watu wanalilia toyota supra 1996/7 mpk leoSasa kijana wa kileo unawezaje kutumia gari ya mwaka 2002???? Sijui elfu moja mia kenda na tisaini na kenda
Kaulize kwanini watu wanalilia toyota supra 1996/7 mpk leoSasa kijana wa kileo unawezaje kutumia gari ya mwaka 2002???? Sijui elfu moja mia kenda na tisaini na kenda
Brevis ishindane na boxer engine hahah ni maajabu sana aisee.Umeanza kuendesha gari lini mkuu?Inategemea na dereva unayefukuzana nae...mimi nikikamata usukani wa Brevis usijisumbue kunifata nyuma nitakusababishia ajari bure.
Unadanganya watu wazima.Inategemea na dereva unayefukuzana nae...mimi nikikamata usukani wa Brevis usijisumbue kunifata nyuma nitakusababishia ajari bure.
Hapa sawa. Au wale ndugu zake, VW.
Nunua Rav4 old model..unawaza shughuli za pori kwa Brevis nani alikudanganyaWakuu naomba msaada wa wa magari hayo manne ipi ni gari sahihi kwa matumizi ya Kijana wa kileo, namaanisha ipo multipurpose kwa kutoka nayo out, Speed ikiwezekana unapotaka kutembea Mkoa hadi Mkoa na shughuli za pori kiasi!?
IpoHivi Brevis haipo ya rangi nyeusi?
hizo gari ndugu kama kipato chako cha mpaka usubiri biko au tatu mzuko,huta kuja kuuza kwa bei ya kijinga alafu matengenezo ni bei juu,ukitaka gari ya kazi na kuendana na maisha yako zipo,ukitaka ya kuuza sura sipo.Wakuu naomba msaada wa wa magari hayo manne ipi ni gari sahihi kwa matumizi ya Kijana wa kileo, namaanisha ipo multipurpose kwa kutoka nayo out, Speed ikiwezekana unapotaka kutembea Mkoa hadi Mkoa na shughuli za pori kiasi!?
Hizo gari zote alizozitaja mm nimezitumia .ubora wa gx 110 niupi ?????Kwanza hapo hakuna gari ya shughuli za pori,
Bt Gx 110 ndio gari, wacha hizo takataka
hapo ndo nyumbani kwake sasaVipi kuhusu acceleration na stability katika barabara
mark II ni outdatedGx 110 ndio gari pekee hapo.. Wote hao watakuja wataenda wataiacha.. Ni practical vehicle... Rear drive.. Imetulia barabarani handling safi kabisa.. Economical ukilinganisha na ukubwa wa injini... Injini take very reliable..
Watu wengine bwana .Alteza bim2000 ifukuzane na brevis cc 2500 au 3000 ???umewai kuzitumia hizo Gari zote ???unajua kama brevis inasensa ???unajua Kama brevis imatengenezwa kwamfumo wabenz??unajua kama brevis ukipoteza funguo kuchonga funguo nyingine ni laki 3??Una uhakika na ukisemacho
Umewahi kukutana na altezza 3S GE cc 1998 au altezza Gita 2JZ ila hiyo brevis yako cc 2500 ukimfukuza utaambulia moshi tu.
Brevis mark 2 grand caldin za kike na kizee mjini umewahi kuona mzee anaendesha altezza kamawapo wanahesabika kwani haiwapendezi ila brevis hata babu yangu anayo maana nzito.
Kwa kijana kama pochi ipo opt for altezza you wont regret safari ipo ina balance body ngumu isifuate inavyoimba ukiifuata tunakuokota kwenye mtaro.
Ushawahi angalia engine ya altezza 3S umewahi pima cc za piston yake moja ukalinganisha na hizo sita za brevis unajua rpm ya tezza na brevis zipoje unajua altezza ina torque kiasi gani unajua dif yake ipoje unajua giabox yake ipoje kulinganisha na brevis unajua ina gia ngap na inachage gia baada ya rpm ngap na hizo rpm unazipata kwa sekunde ngap ukilinganisha na brevis njoo kwenye Horsepower ya altezza na hiyo brevis angalia na mzigo inaobeba body ukiangalia hapo ukafanya ka research kadogo tu utaelewa tofauti ya gari hiyo brevis na altezza. Altezza level yake ni BMW angalia mafuta angalia tyre altezza zote zina low profile tyre kwa ajili ya racing drifting.Watu wengine bwana .Alteza bim2000 ifukuzane na brevis cc 2500 au 3000 ???umewai kuzitumia hizo Gari zote ???unajua kama brevis inasensa ???unajua Kama brevis imatengenezwa kwamfumo wabenz??unajua kama brevis ukipoteza funguo kuchonga funguo nyingine ni laki 3??
" shughuli za pori kiasi!?"