Me nahisi umeleta Tangazo la hio KBH Hotel tu....mkuu Historia ya Singida na wanyaturu haiwezi kukamilika bila kuitakaja Ethiopia, ngoja nipate muda nije nisumulie vizuri
Habari wana JF ,
Mimi ni mhitimu wa elimu ngazi ya degree katika chuo cha usimamizi wa fedha nina uzoefu wa miaka mitatu katika kufanya kazi za mikopo hasa mikopo midogo midogo ya vikundi, mikopo binafsi mikubwa na ya kati .Kama kuna NGO ,Bank au financial institution yeyote yenye uhitaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.