The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Wakati fulani dunia hii ilikuwa karibu nusu ya simu zote za mikononi
ni NOKIA...walilishika soko la dunia nzima
Hata Iphone zilipoanza ilikuwa inasemwa Iphone wanauza simu za mwaka mzima
ambazo NOKIA wanauza katika wiki moja...
Hata hivyo kampuni ya NOKIA ikaishia kufilisika na kuuzwa..maneno maarufu ya CEO wao yalikuwa haya 'We didn't do anything wrong,but somehow we lost'
Sasa juzi niliposikia Airtel wamefilisika na sasa wanafanya restructuring na kupunguza
wafanyakazi....swali la kwanza nililojiuliza ni..'wamekosea wapi'?
Airtel ni kampuni ya tatu now kwa ukubwa Tanzania kwa kampuni za simu kwa idadi ya wateja
ilikuwa ya Pili nyuma tu ya VODA...wakati fulani..
Huduma zao hasa internet zinaaminika kuliko hata wengine kama Tigo...
matangazo ya biashara wapo vizuri kila mara wanakuja na ubunifu mpya
mara 'hamia Airtel' mara 'hatupimi'...mradi...ukiwatazama huwezi sema
wanafanya 'makosa makubwa'....wakati kuna kampuni za simu zipo kama hazipo
mfano Sasatel,Smart,na zinginezo...ukisikia Airetel wamefilisika....unashangaa
na swali linabaki lile lile....'wamekosea wapi'?
Kuna watu ambao wanaweza saidia kujua nini hasa kimetokea kwa Airtel?
ni NOKIA...walilishika soko la dunia nzima
Hata Iphone zilipoanza ilikuwa inasemwa Iphone wanauza simu za mwaka mzima
ambazo NOKIA wanauza katika wiki moja...
Hata hivyo kampuni ya NOKIA ikaishia kufilisika na kuuzwa..maneno maarufu ya CEO wao yalikuwa haya 'We didn't do anything wrong,but somehow we lost'
Sasa juzi niliposikia Airtel wamefilisika na sasa wanafanya restructuring na kupunguza
wafanyakazi....swali la kwanza nililojiuliza ni..'wamekosea wapi'?
Airtel ni kampuni ya tatu now kwa ukubwa Tanzania kwa kampuni za simu kwa idadi ya wateja
ilikuwa ya Pili nyuma tu ya VODA...wakati fulani..
Huduma zao hasa internet zinaaminika kuliko hata wengine kama Tigo...
matangazo ya biashara wapo vizuri kila mara wanakuja na ubunifu mpya
mara 'hamia Airtel' mara 'hatupimi'...mradi...ukiwatazama huwezi sema
wanafanya 'makosa makubwa'....wakati kuna kampuni za simu zipo kama hazipo
mfano Sasatel,Smart,na zinginezo...ukisikia Airetel wamefilisika....unashangaa
na swali linabaki lile lile....'wamekosea wapi'?
Kuna watu ambao wanaweza saidia kujua nini hasa kimetokea kwa Airtel?