Kama tatizo ni CCM, hao uliowataja wako ndani ya kagenge flani kadogo(watu wacheche) ambao ndio wanaiendesha CCM Tena Kwa kutaka iendelee hivi hivi(kukumbatia kujuana,rushwa,ufisadi,kutokuwajibika,kutokufuta katiba na Sheria za nchi, incompetence serikalini, umasikini mkubwa Kwa watz, miradi...