Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mmeshinda ila mnacheza hovyo , Newcastle wangekuwa na clinical finisher mngelia sana leo.....


Hamna beki kabisa ....
 
anachofanyiwa chelsea na aston villa hakina tofauti na alichofaniwa totenham na crystal palace, except for goals so far.
 
mkuu hukuona makosa kibao ya matic?
Yah matic alikuwa na makosa mengi mno ya kiufundi, anaonekana umri ushamtupa mkono, but kwasababu tayari tuna kiongozi uwanjani mwisho wa siku lazima ufurahi tu, ni tofauti kama tungefanya usajili wa DM bado shida ingebaki pale pale, tunakaba lkn goli hamna.

Kwenye soka magoli ndio kila kitu, unaweza ukawa na defence mbovu lkn forward zinafunga na mkashinda mechi kulko kuwa na defence nzr forward mbovu mnaishia kupata sare au ushindi mwembamba.

So for that reason naona tulimhitaji CR7 kuliko kima yyte yule duniani.
 
Back
Top Bottom