Recent content by consolidated

  1. C

    Vijana tujiajiri

    Kalime ukusanye mtaji....
  2. C

    Business idea

    Heshima mbele ..waku naombeni ushauri nina mtaji wa million 6 nifanye biashara gan.....?? Natanguliza shukrani
  3. C

    Updates from TRA

    Jamani hizi interview ni za kwenda au kujuana ni kwingi tusije potezeana muda
  4. C

    Pharmacology.

    I thinkology jamiicology will reactology....
  5. C

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ni shida aise
  6. C

    Je! Naweza kuanza na stage ipi NBAA?

    Foundation babu new syllabus
  7. C

    Ogopeni kusoma kombi dhaifu

    Ajira ni shida aisee yaan ni majanga bila refa hupati kaz cku hizi
  8. C

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Aise mashabiki wa manu tunayo kaz kwel yan baada ya kichapo cha swansea nliishiwa pozi haswa baada ya majigambo mtaan sasa baada ya kupotea toka jmosi jana nkAkutana na jamaa wa arsenal yaan alinipa kicheko na salam ya kinafki hadi nkakosa pozi duuh majanga
  9. C

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mtachonga sana mahasimu ila huu msimu tunachukua ubingwa league ndo imeanza kaa en mkao wa kulaa van gal habahatishi..
  10. C

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Me nmehamia tigo cku nyingi naweka vocha mpaka nasahau
  11. C

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Daah mi yapata miez miwili nimehamia tigo coz ni ilikuwa tabu saiv nahasau ata lini nliweka vocha ..
  12. C

    Bomu lategwa nyumbani kwa RC Mulongo

    Hilo bomu halijategwa kwa ajili ya discourage utali. Vama ni restaurant ndogo sana hivyo hao sio magaidi ni vibaka hata uharibifu co mkubwa .hivyo inanifanya niamini sio al shabab. Pili mi nashawihika sana kwamba hao walio lipua hilo bomu ni visa tu vinavyohusishwa kati yao na mkuu wa mkoa baada...
  13. C

    Tb Joshua alivyonipa utajiri

    Mi celewi kbsa nmechanganyikiwa ukwel ni upi sasa yesu pia alifanya miujuza kama kufanya ile mikate na samaki kuliwa na wengi..kutuliza bahari na wanafunzi wake walipovua walipata samaki wengi lakini pia biblia inaonya juu ya manabii Waongo mm
  14. C

    Hivi ni kwanini UDOM inadharaulika kiasi hiki?

    Binafsi nadhan hizo kashfa sio za kwel kutokana na sababu hizi i.wahitimu wa udom wanapata fursa za ajira kama kawaida. ii.wahitimu wa udom wanaojiendeleza vyuo vingine wanafanya vizuri haswa masters mfano udsm.mu sua n.k iii.pia wahitimu wa udom wanaofanya mitihani ya bodi mbalimbali mfano nbaa...
Back
Top Bottom