Vijana tujiajiri

gasscan

Member
Dec 3, 2014
39
7
tujiajir vijana wenzangu tusingoje serikali mana sirikali haina nafas za kutosha tukawekwa sote, samak toroli watafanya nan
 
unavyoongelea suala la kujiajiri unatakiwa kuangalia mambo yafuatayo
1.unajiajiri katika sekta gani
2.mtaji
3.soko
sasa mkuu gasscan unavyokuja na heading "vijana tujiajiri" bila kudadavua inakuwa ngumu kukuelewa
"ni mtazamo tuuuu!!!""
:msela:
 
tujiajir vijana wenzangu tusingoje serikali mana sirikali haina nafas za kutosha tukawekwa
sote, samak toroli watafanya nan

Mkuu mimi nina Business project yangu nataka kuianza tatizo ni mtaji,....naitaji kama milioni 5 ivi embu nishauri nitazipataje wakati sina collateral ya kuombea mkopo benki?:confused2:
 
Mkuu mimi nina Business project yangu nataka kuianza tatizo ni mtaji,....naitaji kama milioni 5 ivi embu nishauri nitazipataje wakati sina collateral ya kuombea mkopo benki?:confused2:

Tatizo kubwa kwa sasa vijana wengi tunawaza kuanza na mitaji mikubwa wakati uwezo huo haupo., nakushauri anza na kiasi kidogo ulichonacho jiwekee malengo utafikisha hiyo ml. 5. Au anzisha biashara hata ndogo uone utafika tu.
 
Back
Top Bottom