Ogopeni kusoma kombi dhaifu

Ogopeni kusoma kombi dhaifu

Mtoa mada kama ningekuwa na mamlaka ningesitisha kusoma kwake kwani hajui anachokifanya.Wewe kwakuwa umechaguliwa kwenda A-level kwa credit(Cs) wengine tulienda na point nne kwenye combination.Wewe mshukuru Kawambwa enzi zetu kusoma Advance ungekusikia radioni Nyau wewe.
 
Wadanganye wenzio,nilisoma hkl na sasa hv nakula maisha bila shida....ht mtoto wangu wa chekechea anakushinda upeo wa kufikiri.
 
Ama kweli hilo jamaa ndonga maji. Sasa mtu akitaka kuwa mwanasheria asome kombi gani??

Akili dhaifu inazaa hoja dhaifu
Bichwa maji nenda facebook ukaandike pumba zako.
 
JamiiForums,

Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza form 4 katika kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012.

Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.

Ahsanteni....

Unaelezea ubaya wa kitu bila sababu zozote tena bila kutoa alternati ya kukabiliana na ubaya huo... We ni kichwa matope Shardcole
 
Last edited by a moderator:
Dogo inaonekana una mihemko ya ujinga ndani yako...
Kama walivyosema wakuu hapa huenda ulitaga, tena yai viza...
Punguza mihemko yako na usirudie tena kufikiria utumbo kama huu. Kwani inaonekana unahitaji ushauri kielimu ili uelewe nini maana ya elimu na mihemko yako ya kimawazo
 
huyu kijana wa Big result keshanichefua, anahitaji ushauri kwa sababu kma imetokea kafaulu apewe ushauri abaki kwao kwa bibi alime itamsaidia kwa sababu akili za kijinga namna hii mapema utapoteza fedha za wazazi
 
bora mie nimalize darasa angu la saba baba angu ana pesa niendeze bashara za baba angu nyumba na gali napewa nyi someni mkimaza njoo nikuajili upate cha kueka mdomoni na watoto ako

Kweli kuna haja ya kuanzisha Division 5 maana alieandika hapo juu amekizi vigezo vya kupewa Div 5. Kweli CCM imeua elimu ya Tanzania! Uu wiii.
 
Kwanza hata uzoefu wa hizo Kombi hujazifikia vipi unasema dhaifu ina maana economic pia dhaifu
 
Unasoma COMB kutokana na matokeo yako,
je,aliyefeli masomo ya sayansi atasomaje COMB ya PCM,PCB,CBG na ECA?
acha hizo.

ECA sio comb ya sayansi ni mchepuko wa biashara Economic ,commerce and Accounts
 
HUU NI UTOTO WA KIFIKRA:
Mwanzisha mada anapaswa kujiuliza maswali haya kabla hajaleta hoja yake hii;
1. Kwanini vijana wengi wanasoma hizo combination
2. Kwanini serikali ilianzisha combination hizo
3. Je kuna mazingira rafiki ktk shule zetu yanayoruhusu wanafunzi kusoma hizo combination anazotaka?
4. Maswali mengine
Akipata majibu ya hayo maswali atakuwa amepata majibu ya hoja yake. Kwa mtazamo wangu mwanafunzi anaweza kuwa anapenda sana kusoma comb. ya sayansi kama anavyopendekeza mtoa mada, lakini kutokana na mazingira aliyonayo akashindwa na kuamua kuchagua comb. za ARTS. Mtoa mada alipaswa kufikiri zaidi maisha ya kijijini ambako maisha si kama anavyoyajua yeye, wanafunzi huko hawajawahi kuiona test tube, bansen burner. kwahiyo mtoa maada inawezekana anaishi ghorofani masaki.
 
Yaani mada kama hizi ndio zilinifanya nisiwe naingia jukwaa hili. Hata leo sijui nimeingia kutafuta nini maana naona it's getting worse as days go on.
 
Uzuri we mwenyewe unajua kabisa ni kizazi cha mlugo..... Pole sana
 
JamiiForums,

Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza form 4 katika kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012.

Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.

Ahsanteni....
PCB na PCM ndo mpango mzima.
 
Back
Top Bottom