Recent content by Condo rice

  1. Condo rice

    Ningejua mapema nisingesoma advanced secondary education, it is completely a wastage of time and resources

    Sijutii kwenda A-Level ilinifanya niwahi kujitegemea baada ya kuvishika vimilioni vya Heslb ila sasa hv vinanitesa 15%
  2. Condo rice

    Ushauri bure kwa Kesi yoyote ya Madai au Jinai

    Ni hatua gani za kufuata ili nilipwe baada ya mshatakiwa aliyenigonga na gari kushindwa kesi ya kuendesha gari kwa njia ya uzembe amekwenda jela mwaka mmoja
  3. Condo rice

    Harmonize na Diamond kuna dalili hawapo closer kama zamani kuna tatizo

    Harmo alipost ngoma ya tetema kwenye kurasa yake ya ig lakini bado naamini pia harmonize hwako sawa na wcb haswa diamond maana baada ya post si diamond wala rayvanny aliye-react kwa kujibu au kulike post. Karma is the female dog. Diamond waliomtoa wote kazinguana nao Papaa misifa, Bob Junior...
  4. Condo rice

    Internet inapozimwa lengo ni nini?

    Mungu wangu nini hiki
  5. Condo rice

    LEBO INAYOMSIMAMIA R. KELLY YACHUKUA MAAMUZI MAGUMU DHIDI YAKE

    Character assasnation nipo pamoja na Robert
  6. Condo rice

    Wataalamu wa mchezo wa draft tu:Je mwenye nyekundu anaweza kwepa kufungwa supa hapo?

    Supa gan hlo mtu alishaingia king ikaliwa😀😀
  7. Condo rice

    Wakenya waamua kutokucheza muziki kutoka Tanzania(Bongo flavour)

    Tuongee ukweli nyimbo za Kenya na Uganda kuna miaka huko nyuma zilikuwa zinapigwa mpka noma hapa Bongo. Ila nahisi tuligundua tunakosea wapi tukajipanga sasa hivi tumekiwasha tunavuka border na wao waangalie wanapokosea Aiseeh
  8. Condo rice

    Nimeteseka sana lodge

    Uongo dhambi
  9. Condo rice

    Tulioacha kunywa pombe 2019 tukutane hapa

    Nimeacha nimeacha nimeacha pombe Mungu nisaidie
  10. Condo rice

    Nani mwingine anapanda basi la mkoani kwa kuzingatia sehemu wanayosimama kula kama mimi?

    Unatoka tu nje ya geti uelekeo wa kwenda Moro kama hatua 20 tu
  11. Condo rice

    Nani mwingine anapanda basi la mkoani kwa kuzingatia sehemu wanayosimama kula kama mimi?

    Wakisimama Aljazera nikiwa naenda Mbeya huwa natoka nje ya Hotel nanunua chips za buku na mshkak jumla 4000, sasa agiza wanaouza ndani mule chips kavu 4000 mshkak elfu tatu.
  12. Condo rice

    Dar es salaam Governor Mr. Paul Makonda launches anti-Gay crackdown

    Kwa hiki namuunga mkono Makonda kwa mara ya kwanza
  13. Condo rice

    Polepole: Tumeamua mwisho wa kupokea Wabunge na Madiwani iwe Novemba 15, 2018

    Wameishiwa hela sijui za kununua wabunge na kufanya uchaguzi mara kwa mara nina uhakika hata waliorudishiwa majimbo 2020 hawapati kitu na swali chochezi ni je mpaka sasa kuna mbunge viti maalum amewah unga juhudi mkono?
  14. Condo rice

    unakamatwa thread

    Mzushi tu wewe
Back
Top Bottom