Recent content by class75

  1. class75

    Diamond sasa mnyonyaji mpya mjini

    Upo kwenye account ya nan? Kilaza wew
  2. class75

    Huyu demu simuelewi anamaanisha nini.

    Kwan nakupenda ni swali??
  3. class75

    Vyoo vya kukaa vimenishinda

    Ndonga ni nini? Samahani lakini
  4. class75

    Vyoo vya kukaa vimenishinda

    Ndoga ndo nini?? Samahani lakini
  5. class75

    Ugonjwa wa VDRL

    Ni kipimo cha maabara kwa ajili ya kupima syphilis (kaswende)
  6. class75

    Nyeto ya kutumia mashine ya kusaga

    Ukiachana na ujuzi wako wa nyeto... naomba unielekeze ulikua unasaga unga ili kitokee nini?[emoji23]
  7. class75

    Jinsi CHADEMA wanavyomwelewa Rais Magufuli

    Hahha kamenifurahisha haka hasa hyo malim seif[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  8. class75

    Nani atalia Ukifa?

    Tujitahid tutende mema tnapokua hai.. na tuishi maisha ya kumtukuza Mungu!! Watu wanasahau wafu haraka sana usiwajali sana... Nadhan kutenda mema kwa imani yako inapaswa iwe kipaumbele zaidi. Apumzike kwa amani huyo kijana
  9. class75

    Msaada: Kuhusu ilipo Hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mbeya

    Kwa saiv hospital ya rufaa ya mkoa ni iliyopo forest
  10. class75

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Habari zenu wakuu... Msaada Kama kuna kitabu kingine kwa ajili ya naked traders ukiachana na naked forex..... Natanguliza shukran
  11. class75

    Series (Special thread)

    Poleni na majukumu wakuu.. Naombeni msaada wa link ya kudownload the walking dead kwenye pc Natanguliza shukrani
  12. class75

    Mh Ronaldo hizi sifa sasa CR7

    Ungeweka na ya strong foot pia... Na idadi ya mechi walzocheza mzee!!! Af ungetuambia na msimu huu ronaldo hali vepe huko????? Kabla hujaanza kuongea ujinga wako kumbuka ronaldo kaanza mpira miaka miwili kabla ya messi
Back
Top Bottom