"Kitabu kilichoandikwa na wahuni" hakiwezi kuwa as perfect na without contradicting statements kwa namna Quran ilivyo. Hicho hakiwezi kuwa refuted hata iweje. Na hata baadhi ya vitu kwenye Quran vimekuja kuonekana kuwa viko exactly kama vilivyoandikwa just in recent years. Hao "wahuni"...
Kuna tofauti kubwa kati ya taratibu zinazowekwa na uislam na mila za kiarabu/kiafghani etc. Uislam umeweka emphasis kubwa sana kwenye elimu kwa wanawake na betterment ya social welfare yao in general. It's only in Islam kwanza kuwa mwanamke akiolewa, every need of hers becomes the responsibility...
Mzee TTCL watu tuna zaidi ya 5 months tangu tujaze form na hawajaja hata kusurvey. Hao jamaa nilishagive up kabisa. Plus customer support mtihani kweli!
Kwa Kigamboni kuna jamaa wanaitwa Elmax Networks (instagram wanatumia @elmaxnetworks ). Wana unlimited internet (unanunua speed). Speeds zao ni kuanzia 6Mbps ambayo ni around US $45 (106,000/= hivi) kila mwezi. Speed ni dedicated, sio shared kama ilivyo kwa "unlimited" za mitandao yetu ya simu...
Beberu ni Kiswahili cha "Imperialist". Na nadhani western countries nyingi zinaqualify kuitwa Imperialist nations. Waziri Kabudi hajakosea hata kidogo [emoji106].
Weka Sura na Aya ya Quran yanapopatikana hayo maelezo yako, mkuu. Tujifunze kuheshimu imani za watu, tafadhali [emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu naomba niulize. Nimeona Mzumbe University wanatumia salary scale ya PGMSS. Je, mishahara yao inakuwaje, tafadhali? Mathalani, mshahara wa PGMSS 7.1 unaweza kuwa kiasi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.