donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,522
Huyu jamaa alikua anaitwa Cazy-T mwana wa komba alikua anawimbo amemshirikisha Sara unaitwa Nakuihitaji mpenzi wangu Nakuihitaji unaniita? Halafu na Yule jamaa alikua anaitwa Emmanuel Nkulila alikua ana wimbo unaitwa why can't you change your love for me