kwa uzoefu wangu ni wiki ya tatu huanza kutaga, kwa maana wik ya kwanza atakuwa bado anatafuta mayai yake na kama ukimtenga atakuwa anatoa ile saut kama kuku anaelalia mayai, wik ya pili atapandwa na jogoo na kutetea kama jina lake wik ya tatu anataga, wik ya 4 anaanza kulalia mayai
Habar wanajamvi, Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, naomba nifaamishwe wapi naweza pata mbegu ya maharage machanga maarufu kama French Beans/Green Beans, mim niko Lindi. Ahsanteni natanguliza shukrani za dhati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.