Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kweli mazuzu mpo wengi hapa tanzania
Huyu Rais wetu ni strategist mzuri sana...JPM akiguswa tu na 'wahuni' wachache, wataona nguvu ya umma ilivyo na nguvu..Yaani hao 'wahuni' watavurumishwa kokote walipo...Magufuli ameteka mioyo ya watanzania wa kawaida wakiwemo wanafunzi wa vyuo vikuu, sekondari, wamachinga, wafanyakazi wa kawaida, wakulima, wananchi wa vijijini na mijini ambao ni wa kawaida na makundi mengine mengi vikiwemo vyombo vya dola yaani askari, polisi, usalama, magereza, mgambo na kadhalika...