Kamwe usimwamini mwanamke!.

Kamwe usimwamini mwanamke!.

mkuu mi mwenyewe sijiamini kwa 100% sembuse binadamu mwenzangu ha haaaa hata huyo mama usimwamini kihivyo
 
Ulichelewa wapi ndg yangu ulikuwa hulijui hilo? Mbona tuna mifano hai kutoka kwenye vitabu vitakatifu! Kwa mfano tu Samsoni jitu lililokuwa na miguvu ya ajabu akaja akatekwa na mrembo Delila hatimaye akauawa kikatili kbs! Tujifunze kwa waliotutangulia. Pole sana ingawa hujasema ni nini kimekusibu!
 
Sante mkuu! Moyo unasiri nzito sana
Ulichelewa wapi ndg yangu ulikuwa hulijui hilo? Mbona tuna mifano hai kutoka kwenye vitabu vitakatifu! Kwa mfano tu Samsoni jitu lililokuwa na miguvu ya ajabu akaja akatekwa na mrembo Delila hatimaye akauawa kikatili kbs! Tujifunze kwa waliotutangulia. Pole sana ingawa hujasema ni nini kimekusibu!
 
Na tutawakomesha mpaka mnyokeee udhaifu wenu si ni pupuchuu mtasema yoteee mxeeew zenu
Nitakuoa nitasema yoooooote, km ni kuniua ua, pumbaaaafu then nililie sana, ntaishi na nani sasa, kama si muke km wewe, ila sasa machagua nani wa kuniua mume hufia kwa mke baaasi ila unachagua utakapo fia.
 
Mke mwema hutoka kwa Bwana... Sasa mkuu, huyo bibie unajua kabisa hajatoka kwa Bwana, anaanzaje kuwa mwema?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom