BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,127
- 734
Wakuu habari,
Nimepanda maboga ya kisasa F1 kama elfu 2 hivi, nataraji kuvuna maboga zaidi ya elfu 8. Naomba mwenye kujua soko zuri la maboga yenyewe yakiwa mabichi, mbegu zake au unga wa maboga.
Shamba lipo Bagamoyo.
Asanteni
Nimepanda maboga ya kisasa F1 kama elfu 2 hivi, nataraji kuvuna maboga zaidi ya elfu 8. Naomba mwenye kujua soko zuri la maboga yenyewe yakiwa mabichi, mbegu zake au unga wa maboga.
Shamba lipo Bagamoyo.
Asanteni