casanova69
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 2,358
- 2,144
Ndio asili ilivyo,kila mtu anakula kupitia mwenzake,na itabaki kuwa ivyo.Kama tajiri anakula kwa kuleta fursa na masikini naye anakula kwa kuletewa fursa.Kila upande unafaidika.Sio katika kila jambo unaweka dhana mbya tu..jifunze kuyaona mazuri ktk kila jambo. Kuna mtu alisema "matajiri wako bize kutafuta fursa, huku maskini wako bize wakidhani kila fursa nni utapeli"
Kama kutakuwa na utapeli basi upande mmoja unaliwa.