Kwa kawaida nyumba za wakubwa siyo za kudumu kwa mhusika. Pindi anapomaliza muda wake inabidi aondoke ili mrithi wake aitumie.
Kinachowauma nyumbu ni Serikali kuwawahi kwa kuwafilisi hoja maana Jumatatu ndugu yangu Vuta Nikuvute angekuja na hoja ya Mhe. kutohama kwenye nyumba.
Kwa suala hili...
Tuliza kichwa, amesema hicho cheo watu hutuma application ambayo yeye hawezi kutuma kuomba hiyo kazi. Kwake ni kazi ndogo sana kulinganisha na urais ambao ameshastahafu.
Ametumia lugha ya diplomasia kuwa kama watamteua atafanya kwa kipindi kifupi. Ukweli ni lugha ya kukataa kwani cheo hicho...
Huwa unanifurahisha sana Mzee Tupatupa. Ukishauza nanasi zako Kiwangwa hutaki stress unamwaga vitu.
Hata hivyo, Rais ndiye anayekuwa mwenyekiti wa chama kulingana na utaratibu uliopo ndani ya chama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.