Recent content by Chifunanga

  1. Chifunanga

    Matukio ya mabomu Arusha, Inawezekana adui amekaa pembeni anatucheka tunavyonyoosheana vidole

    1. Nilivyokua shule, kuna jamaa mmoja alikua anaingia bwenini halafu anaiba hela. Akisha iba anakimbilia kwa mwalimu kusema kua yeye ndio kaibiwa hela. Basi watu wote tunaokaa bweni moja na yeye tunaitwa na tunaanza kusachiwa wakati yeye ametulia tu darasani. WANASIASA WA SIKU HIZI WANAZIJUA...
  2. Chifunanga

    Vijue vyeo, Majina na Alama za Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ)

    Mkuu, hajasahau cheo cha Major General, kipo, angalia vizuri. Na pia Major General sio cheo kinachofuata General, ni cheo cha chini ya Lieutenant General. Field Marshal sio cheo, ni wadhifa unapowa ukiwa vitani, vita ikiisha unarudi na kuwa General wa kawaida. Admiral ni sawa na General, sema...
  3. Chifunanga

    Mkuu wa Majeshi lazima atoke Jeshi la Kujenga Taifa?

    Kwanza wenye katiba hakuna sehemu inayosema mkuu wa majeshi ya ulinzi ni mkuu wa majeshi yote. Pili, Mwamunyange ni CDF (Chief of DEFENCE forces), kiswahili chake sahihi ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (Defence). Na sio mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama. Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ni...
  4. Chifunanga

    Kwa wanaoweka mafuta nyumbani

    Kwa wale mnao "ona mbali" nakuamua kuweka petroli majumbani kwenu. Kuweni makini, hiyo kitu ikilipuka madhara yake, ni bora ungekubali kutembea kwa mguu au kupanda baiskeli.
  5. Chifunanga

    nataka kujiunga na jeshi

    anza kwa kufungua account south africa
  6. Chifunanga

    CCM: Nani akienda Igunga atalikomboa jimbo?

    wakimpeleka yeyote yule atashinda tu....Igunga pale unagawa khanga tu, kwishney
  7. Chifunanga

    Wadau naomba kuelimishwa katika hili

    matumizi ya nini sasa? ya laptop au ya slot ya express card?
  8. Chifunanga

    Kitu kilikata network nini?

    Hapa vipi? mtambo ulikua down, tanesco wamekata umeme? Naona wataalam wanakuna maskio.
  9. Chifunanga

    Fiesta 2011

    mulika mwizi
  10. Chifunanga

    Naibu waziri wa mambo ya ndani na hotuba ya kambi ya upizani

    Sijui, ila hata mimi nimeimindi ile budget aliyosoma Lema......imagine yeye ndio angekuwa waziri wa mambo ya ndani ya ukweli, halafu budget anayoipresent ndio ile......kuna kitu kweli pale?
  11. Chifunanga

    Intelijensia: Maana, Dhana na Muelekeo

    Mkuu, sio kweli kuwa kazi ya TISS ni kulinda chama na kuwalinda viongozi. Kazi wanazofanya ni nyingi kweli, karibia zote ulizoliorodhesha. Ni kwa bahati mbaya sana hawawezi kutangaza kwenye TV au magazeti au redio. Watanzia wengi wanasikia kuhusu hawa watu kutoka kwenye stori za vijiweni na sio...
  12. Chifunanga

    Intelijensia: Maana, Dhana na Muelekeo

    Utangulizi Tokea 9/11 vyombo vya usalama wa taifa vimekua vikijihusisha zaidi na masuala ya ulinzi wa mipaka na kutafuta na kuzuia ugaidi. Vyombo vya usalama vya nchi nyingi vimefanya marekebisho makubwa baada ya ushauri uliotokana na ripoti na utafiti uliofichua mapungufu yaliyo enda...
  13. Chifunanga

    Uchumi wa Tanzania unakuwa Vizuri:Benki ya Dunia

    wanatuchezesha sindimba....na kama tunacheza, kwa nini wasiendelee kutuchezesha? Si tunakopa na kulipa, shida iko wapi?...wenzenu wana vijisenti nje....wazungu hawaelewi kama kuna sehemu tanzania watu wanaishi hakuna umeme kabisa, wanadhani ni hifadhi za taifa.
  14. Chifunanga

    Symbion Power: Intelligence watupu

    Halafu, naona wamarekani wanaendelea kutumia nguvu nyingi sana kuileta hii symbion hapa. Clinton alivyokuja, ameenda Symbion...Sasa wamekuja hawa watalii kutoka US, wameenda Ikulu, mmoja wa watoa speech ni bosi wa Symbion......MEANWHILE hakuna umeme!
Back
Top Bottom