1. Nilivyokua shule, kuna jamaa mmoja alikua anaingia bwenini halafu anaiba hela. Akisha iba anakimbilia kwa mwalimu kusema kua yeye ndio kaibiwa hela. Basi watu wote tunaokaa bweni moja na yeye tunaitwa na tunaanza kusachiwa wakati yeye ametulia tu darasani.
WANASIASA WA SIKU HIZI WANAZIJUA...
Mkuu, hajasahau cheo cha Major General, kipo, angalia vizuri. Na pia Major General sio cheo kinachofuata General, ni cheo cha chini ya Lieutenant General.
Field Marshal sio cheo, ni wadhifa unapowa ukiwa vitani, vita ikiisha unarudi na kuwa General wa kawaida.
Admiral ni sawa na General, sema...
Kwanza wenye katiba hakuna sehemu inayosema mkuu wa majeshi ya ulinzi ni mkuu wa majeshi yote.
Pili, Mwamunyange ni CDF (Chief of DEFENCE forces), kiswahili chake sahihi ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (Defence). Na sio mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.
Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ni...
Kwa wale mnao "ona mbali" nakuamua kuweka petroli majumbani kwenu. Kuweni makini, hiyo kitu ikilipuka madhara yake, ni bora ungekubali kutembea kwa mguu au kupanda baiskeli.
Sijui, ila hata mimi nimeimindi ile budget aliyosoma Lema......imagine yeye ndio angekuwa waziri wa mambo ya ndani ya ukweli, halafu budget anayoipresent ndio ile......kuna kitu kweli pale?
Mkuu, sio kweli kuwa kazi ya TISS ni kulinda chama na kuwalinda viongozi. Kazi wanazofanya ni nyingi kweli, karibia zote ulizoliorodhesha. Ni kwa bahati mbaya sana hawawezi kutangaza kwenye TV au magazeti au redio. Watanzia wengi wanasikia kuhusu hawa watu kutoka kwenye stori za vijiweni na sio...
Utangulizi
Tokea 9/11 vyombo vya usalama wa taifa vimekua vikijihusisha zaidi na masuala ya ulinzi wa mipaka na kutafuta na kuzuia ugaidi. Vyombo
vya usalama vya nchi nyingi vimefanya marekebisho makubwa baada ya ushauri uliotokana na ripoti na utafiti uliofichua mapungufu yaliyo
enda...
wanatuchezesha sindimba....na kama tunacheza, kwa nini wasiendelee kutuchezesha? Si tunakopa na kulipa, shida iko wapi?...wenzenu wana vijisenti nje....wazungu hawaelewi kama kuna sehemu tanzania watu wanaishi hakuna umeme kabisa, wanadhani ni hifadhi za taifa.
Halafu, naona wamarekani wanaendelea kutumia nguvu nyingi sana kuileta hii symbion hapa. Clinton alivyokuja, ameenda Symbion...Sasa wamekuja hawa watalii kutoka US, wameenda Ikulu, mmoja wa watoa speech ni bosi wa Symbion......MEANWHILE hakuna umeme!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.