Benki ya Dunia imesema kuwa uchumi wa Tanzania unakuwa kwa kasi sana,kwa mujibu wa mchumi wa Benki ya Dunia kanda ya Afrika bwana Shanta Devarajan amesema kuwa uchumi wa Tanzania umekuwa kutoka asilimia 3.5 mwaka 1996 hadi kufikia aslimia 7.8, amesema kuwa ili uchumi ukue zaidi inapaswa kuhakikisha kuwa watanzania wanawezeshwa kwenye sekta ya Kilimo,na pia nishati ya umeme inapatikana kwa watanzania wengi
Source:Swahili-radio tehran,pitia kwenye wall yao ya face book.
My take: Sidhan kama kuna mtanzania anepaswa kusikia habari hizi wakati anaona mambo ni tyt kwake,hawa WB huwa wanafanya risech au wanapewa ripoti na kuziamini? Maana serikali haishindwi kuandaa a good report ili wapewe loan
Source:Swahili-radio tehran,pitia kwenye wall yao ya face book.
My take: Sidhan kama kuna mtanzania anepaswa kusikia habari hizi wakati anaona mambo ni tyt kwake,hawa WB huwa wanafanya risech au wanapewa ripoti na kuziamini? Maana serikali haishindwi kuandaa a good report ili wapewe loan