Igunga bado ni ngome ya CCM; nasikia kuna njaa wakipelekewa chakula cha msaada toka ofisi ya waziri mkuu mchezo unaishia hapo hapo.
nauliza nani akienda igunga jimbo litarudi CCM? Maana kwajinsi makada wote walivyo na uwezo sijui nimpendekeze nani.
CCM imekamilika utadhani Barcelona!
<br />mwarabu au shombeshombe
wakimpeleka yeyote yule atashinda tu....Igunga pale unagawa khanga tu, kwishney
mimi naona aende jk mwenyewe.nauliza nani akienda igunga jimbo litarudi CCM? Maana kwajinsi makada wote walivyo na uwezo sijui nimpendekeze nani.
CCM imekamilika utadhani Barcelona!
nauliza nani akienda igunga jimbo litarudi CCM? Maana kwajinsi makada wote walivyo na uwezo sijui nimpendekeze nani.
CCM imekamilika utadhani Barcelona!
Dawa ya moto ni moto - wamshushe pale Lowassa kwanza ateme cheche, Baada ya Lowassa Pombe apite awaache hoi, baada ya pombe Pinda na Msosi wa nguvu I mean Mchele sio Ugali tena, baada ya pinda ndo Mzee wiseman Mkama atinge siku za mwisho mwisho na akeshe nao - Kitaeleweka. Aliyejenga nyumba ya Spika kwao asikanyage hapo kabisa wala yule aliyesema sasa yuko jikoni barabara itajengwa. na kale kavuvuzela ka Chama kasiende kabisa kataharibu.
nauliza nani akienda igunga jimbo litarudi CCM? Maana kwajinsi makada wote walivyo na uwezo sijui nimpendekeze nani.
CCM imekamilika utadhani Barcelona!