Historia haiandikwi kwa siku moja. Jina Balozi Mwanaidi Majaar sijui litachukuwa kurasa ngapi katika kitabu cha historia ya Umeme Tanzania. For better for worse, jina la la huyu mwanamama limo kwenye saga ya Richmond/Dowans na sasa Symbion.
Nilisema huko nyuma kuhusu huyu Joe Wilson na ujajusi. Pamoja na kwamba Balozi Majaar anajaribu kutatua tatizo la umeme hapa nyumbani napatwa na wasiwasi na 'thinking au logic' ya kuleta an extremely strong team ya majasusi. Kwa nchi ambayo haina hata uwezo (au inapuuza) wa kuzuia ndege za kivita toka nchi nyingine kutua kwenye viwanja vyetu vya ndege na kuchukuwa wanyama, au kuzuia mabomu kama yale ya Mbagala & Gongo la Mboto, itawezaje kukabiliana na hawa 'magwiji'?
Tayari Hillary Clinton amekuja TZ and tells you how 'happy' they to have got a very good entry point. Kwa muda nimekuwa najiuliza sana hivi hakuna namna ya kutatua tatizo la umeme kweli from within the country?
Nilisema huko nyuma kuhusu huyu Joe Wilson na ujajusi. Pamoja na kwamba Balozi Majaar anajaribu kutatua tatizo la umeme hapa nyumbani napatwa na wasiwasi na 'thinking au logic' ya kuleta an extremely strong team ya majasusi. Kwa nchi ambayo haina hata uwezo (au inapuuza) wa kuzuia ndege za kivita toka nchi nyingine kutua kwenye viwanja vyetu vya ndege na kuchukuwa wanyama, au kuzuia mabomu kama yale ya Mbagala & Gongo la Mboto, itawezaje kukabiliana na hawa 'magwiji'?
Tayari Hillary Clinton amekuja TZ and tells you how 'happy' they to have got a very good entry point. Kwa muda nimekuwa najiuliza sana hivi hakuna namna ya kutatua tatizo la umeme kweli from within the country?