Fiesta 2011

Fiesta 2011

Mtoto wa kimarangu hakamtiki siku hizi....Huyu demu aliye nae nimemsahau jina kidogo, Namkumbuka enzi hizo nasali pande za mbezi b nilikuwa na muonaga church alikuwa hot sana, siku hizi naona kazeeka kuliko sisi wazee wenyewe!
...Kinachonikera kwa hawa mabinti wa kitanzania wakiwa na haya mazungu ni kudhani kila cku ni ckukukuuu tu. mtu anakunywa mpaka anapteza net work hivi huyo akifika huko chumbani si anagongwa kila penye tundu mzungu anapenyeza? maana hata uwezo wa kujitambua hana....Ah!
 
Jamani kama kuna mtu ana video ya tukio zima naomba anisaidie tafadhali
 
Huyo ni Allan Chonjo, ni Meneja wa bia ya Serengeti...Uncle Rukus huyo ni Mchumbake mbona bado kifaa sana au kazeeka sehemu gani Uncle Rukus??? Jina lake linaanza na B***

Hah hah hah thafi thana, naona wanaoana watoto wa wazee wa Kanisa, nimeipenda hii combi.......Huyu mtoto anaitwa Abella Mutalemwa, kwa anavyo onekana kwa sasa amezeeka sura, sijui ni picha au macho yangu ya kizee, ila ana mdogo wake ni kifaa ile mbaya yaani sema tu umri umekimbia zaidi ya hapo ingenibini nicheck Plan B
 
...Kinachonikera kwa hawa mabinti wa kitanzania wakiwa na haya mazungu ni kudhani kila cku ni ckukukuuu tu. mtu anakunywa mpaka anapteza net work hivi huyo akifika huko chumbani si anagongwa kila penye tundu mzungu anapenyeza? maana hata uwezo wa kujitambua hana....Ah!
SerengetiFiesta2011_Daressalaam6.jpg


Bila shaka walikuwa wanaelewana bei!
 
Nchi ya matamasha,uzinduzi,vicheni pati,sherehe,tafrija,kalamu ushirikina bila kujali mwaka,mwezi,wiki,siku,iwe kwenye mavuno,njaa,ukame,mgao wa umeme,masika,kiangazi,n.k,sijuhi tatzo hapa ni ujana,ujinga,starehe,uongozi mbovu ama maendeleo?nchi kama hii hata ikitangazwa vita kuna watu hawatajua maana ya vita na bado wataendelea kubook kumbi kwa ajiri ya starehe.
 
Mtoto wa kimarangu hakamtiki siku hizi....Huyu demu aliye nae nimemsahau jina kidogo, Namkumbuka enzi hizo nasali pande za mbezi b nilikuwa na muonaga church alikuwa hot sana, siku hizi naona kazeeka kuliko sisi wazee wenyewe!

uncle rukus umenichekesha sana hapo mkuu
 
Mambo ya chui chui..... Hawa masister wetu bana! Hasara tupu.
 
CRAPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPP SIONI UMUHIMU WA HUU UPUPUP LOOL



TE=Uncle Rukus;2300638]
14.jpg

8.jpg

9.jpg

15.jpg

12.jpg

6.jpg

5.jpg

Hizi kucha za huyu dada zimeniacha hoi!
4.jpg

23.jpg

33.jpg

41.jpg

42.jpg

25.jpg
[/QUOTE]
 
Ama kweli maisha ya kibongo tunateseka badala ya kuyafurahia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom