Nchi hii ni ya wote kwa nini wawepo baadhi ya watu kwa utashi wao wawe na nguvu ya kuchukua haki ya wenzao ya kuishi ndani ya nchi yao, leo mnyama anathaman kuliko mwananchi? Majeshi yetu yako wapi? Kama taifa tujitathin tuliko toka,tulipo na tunakoenda. Nimuombe waziri wa mambo ya ndani pamoja...
Huu mchezo umeota mizizi ndani ya vyuo vya umma wamegeuka miungu watu nina mengi ninayoyaona na kuyashuhudia ndani ya vyuo hasa vyuo vikuu viongozi ni miungu watu
Huyu Mama Anna Mghwira ni hadhina kubwa sana ndani ya taifa Mama naamini kama jambo hili litatendewa haki na kulifanyia kazi utakuwa umesaidia sana watoto wengi wa masikini wenzetu katika nchi hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.