hii ni kazi isiyo na shukrani hata kidogo kwahiyo kama mtu unawaza kuingia huko ili uingie kwenye vitabu vya kumbukumbu kwa mchango wako kwa taifa inabidi usahau.. ni kazi ambayo unapoteza kila kitu ili wananchi wengine wengi waishi kwa amani na furaha na hao hao ndo watakua wa kwanza kukusimanga jambo dogo linapoenda ndivyo sivyo. ni kama mdau mmoja hapa anaamini kumtolea bastola nape ndo kazi pekee wanayofanya usalama wa taifa!!.. ni wangapi wapo tayari kutoa michango hata ya maisha yao ila isitambuliwe wala kujulikana na watu wanaowasaidia?! kazi ambayo tokea unaianza unajua kabisa sponsor hatokupa msaada wowote, atakukana (plausible deniability) na utakua tayari kufa kuliko kuweka wazi uhusiano wako nae siku utakapoangukia kwenye mikono ya adui!! una infiltrate kikundi cha majambazi sugu wanaofanya organized crime, unaua nao watu, unafanya nao matukio ili wasikushtukie, unajua kabisa wakikushtukia tu ndo umeenda na maji na upo tayari.. acheni utani bana
We are sound the same ingawa kwa koment hii tayari nipo nje kuonekana!Du!! asante kwa nondo mkuu The Bold...
Uje utuandaliea makala ya jinsi ya kuanzisha Secret Society au majasusi wa kiuchumi.
ngoja nisome hii kitu kwanza nishibishe bongo...
Mkuu The bold umegusa point nyingi muhimu, asante sana kwa dondoo muhimu.
Naomba kuuliza kwa wadau mbali mbali hili jambo:
- Je, Hivi hawa jamaa wakimuita mtu kwenye usaili wao (akafanya written na oral interview) yao, halafu wakamwambia muhusika watamuita ila unapita muda mrefu ukapita (Karibu 2yrs) na mawasiliano(simu ,postal adress,makazi ya muhusika,) na wakaja kumfatilia hadi kitaa muhusika kisha wakapotea ghafla, Je ina maanisha Nini?? Je bado wana muhitaji au ndo anakuwa haja kidhi vigezo??
- Je wale referee anaowajaza muhusika wanaweza kuwa kigezo cha kufanya muhusika asije qualified to be recruited na hao jamaa..?
Hakuna kazi nzuri duniani kama ya kuchunga watu.
Aliac
Aliacha,alishindwana nao kwenye baadhi ya masharti
activist, kupigania utu na haki za watu ni sawa na kuwalinda au kuwa mchungaji namaanisha.Jifariji,
Nawe unakuwa unafugwa siyo kuchunga tu.
Usije ukajaribu .Tafuta vitu vingine vya kufanya utaishia kutumika tu.Mimi nahitaji kuwa afisa usalama lakini sio kwa Tanzania hii. Hilo linawezekana vipi!?
Duuuuuuh,activist, kupigania utu na haki za watu ni sawa na kuwalinda au kuwa mchungaji namaanisha.
Unachokitaka wewe wengine wanakikimbia kwenye hii dunia ilojaa dhulma na udhalimu kuanzia kwa watawala hadi raia wa kawaida tu hizi kazi za usalama wengi wanazikimbia sana siku hizi.
Usije ukajaribu .Tafuta vitu vingine vya kufanya utaishia kutumika tu.
Wewe ni afisa usalama!?Usije ukajaribu .Tafuta vitu vingine vya kufanya utaishia kutumika tu.
Na asilimia kubwa wapo ndugu pale, na watoto wa vigogo. Nashangaa The bold hajaiweka kama njia ya recruit pia. Humu jf pia kuna watu wanapenda umfikirie kua yeye pia yupo kule sijui kwanini aseeee. Au zile suti na waya sikioni ndo zinawapa mchecheto bila kujua mateso wanayopata.Mungu awalinde TISS hiyo kazi napenda tuu kusikia nadharia zake vijiweni.
Nasikia siku hizi wakilewa tuu wanajitambulisha
Well ni kweli alitoka,siwezi kuweka details zake kwasababu ni member humuHajafanyiwa upasuaji bila ganzi wala vipimo!?
Si tunasikia kitaani kuwa, mtu akiingia hakuna kutoka hadi msiba wake utangazwe na Muumba !
Au alikuwa bado hajaanza kazi ilikuwa kwenye wakati kuandikishwa!?
Sasa huyo alitokaje
Hahaaaa eti suti washone tuu hata wakiwa walimu watapendeza tuu.....Na asilimia kubwa wapo ndugu pale, na watoto wa vigogo. Nashangaa The bold hajaiweka kama njia ya recruit pia. Humu jf pia kuna watu wanapenda umfikirie kua yeye pia yupo kule sijui kwanini aseeee. Au zile suti na waya sikioni ndo zinawapa mchecheto bila kujua mateso wanayopata.
Na asilimia kubwa wapo ndugu pale, na watoto wa vigogo. Nashangaa The bold hajaiweka kama njia ya recruit pia. Humu jf pia kuna watu wanapenda umfikirie kua yeye pia yupo kule sijui kwanini aseeee. Au zile suti na waya sikioni ndo zinawapa mchecheto bila kujua mateso wanayopata.