Sina Hakika Juu ya Hilo Ila Nishawahi sikia Stori kadhaa kuhusu Rupia za Mjerumani Kuwa zimefichwa maeneo fulani hapa Tanzania Na hao wajerumani waliweka mazindiko makubwa sana kiasi kwamba mtu wa kawaida huwezi chukua, nasikia Nyerere alilijua hilo na ili kuzilinda( hii tuiite bora tukose wote)...
#CHINAMADE
Kijiji nachotokea ambako anaishi bibi yangu hakuna umeme hivyo walikuwa wanapata sana shida hasa kwenye kuchaji simu kwani iliwalazimu kwenda kwenye umbali usiopungua kilomita 30 ambako ndo kulikuwa na jenereta hivyo walisumbuka sana. likizo moja kama ilivyo ada nilienda...
duh mi nina mti hapa nyumbani miaka nenda rudi unazaa mpaka zinanyauka sijui nizifanyeje ila kama ndo hivyo nielekezeni ili nami niweze kuvuna ili hatimae kama mtazihitaji tutawasiliana, kikubwa ambacho ningependa kujua ni kuwa kwa wakati gani zinavunwa? unatambuaje kama zipo tayari? mimi nipo Dar
Sio ufisadi, ikiruhusiwa kuuzwa kwa bei hiyo viwanda vingine vitakufa, kumbuka kwamba Kiwanda cha dangote ni kikubwa afrika mashariki na kati na pia Mahali kilipojengwa kuna deposit kubwa sana ya malighafi kuvizidi vile vya tanga,mbeya, twiga n.k hivyo kufanya hivyo kunaweza kuathiri hivi...
Mbona hiyo ize we ukimuona unafunguka tu Mfano;
Ujue nini mi nakupendaga kinoma sema nashindwaga kukwambiaga, sema leo uvumilivu umenishinda nimeona bora nikwambie tu. NAKUPENDA HIPHOP
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.