Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
Ndio faida ya kula unga hiyo
Mshaurini TID kwa sasa akiwa
hai au mnasubiri mpaka afariki ndio muanze kuongea. come on
guys:yell::nod:
Kwanza kingereza kibovu kama hiki huko UK sijui ataongea na mzungu gani waelewane, labda kama anashinda na watu wa East Africa tu.
Mwanamuziki TID ambaye yuko nchini UK kwenye tour iliyoandaliwa na Victor DJRule BongoUk amefunguka leo kupitia ukurasa wake wa facebook na kumshtumu promoter huyo aliye mleta nchini huma kuto kumlipa baada ya kufanya show kama walivyo kuwa wamekubalina. TID ameandika kifuatacho:
My mind is not some stupid promota is trying to rob me,am not goin to let it happen am calling my balozi why a Kenyan artist hajamzingua......ndo maana hatuendelei
Mjomba acha chuki na wivu, angalau "Teja" TID anaongea English ya kuombea maji, ongea yako tukusikie basi...
We unaweza fanya kazi bila kulipwa???
Tumuulize King Kong III kv yeye ndie aliyezifukua hizo thread kuhusu TID na zote amezifukua kwa same message: "mjini wanyama kibao cha ajabu wanakula unga" Hoyaa mkùu King Kong, vp?! Au ùmemegewa? "Kama umemegewa nawe tafuta demu wake ummegee, haiondoi maumivu bali urudisha hadhi ya kiume (by FA)", au kama vp mmegee dadake ambae is still chick, 18-21yrs(by NasDaz)Luna nin kuhusu TID mbn nyuzi zote mmezifufua Leo?