Nolren
Member
- Sep 7, 2015
- 33
- 0
Ndugu wanajukwaa!
Kwa yeyote anayehitaji mazao yatokanayo na mti wa Mlonge, anaweza kunicheki PM. Nipo Kahama, bei ni mbegu za Mlonge 500gm kwa Tshs.2000/=, majani Mlonge yaliyosagwa 1kg Tshs5000/=.
Kwa wanaohitaji mzigo mwingi punguzo lipo!
Karibuni
Weka namba za simu.
0769874386
0716149003
Nataka mbegu za mlonge.