Cement za Dangote zinapatikana wapi?

Cement za Dangote zinapatikana wapi?

Wanatoa 25th December na bei bado hawajapanga....Mie ni wakala tayari kanda ya Mbweni
 
viwanda vya cement wamiliki ni wanasiasa

Hakuna kosa mwanasiasa kumiliki kiwanda, ili mradi kiendeshwe kihalali. Wanasiasa wa Kenya ni wamiliki wazuri tu wa viwand na wanatumia serikali wanayoiongoza kuhakikisha kuwa hakuna bidhaa zinazofanana na wanazotengeneza kwenye viwanda vyao nchini inaingia ovyo ovyo kama hapa kwetu. Kama wanasiasa wetu wanamiliki viwanda vya sementi, wahakikishe wanatumia mamlaka yao kuhakikisha hakuna sementi ya nje inaingizwa nchini oyo. Ndio maana ya kuimarisha ya kuimarisha uchumi hivyo. Hivyo hivyo ifanyike kwa bidhaa nyingine zinazozalishwa nchini.
 
Sio ufisadi, ikiruhusiwa kuuzwa kwa bei hiyo viwanda vingine vitakufa, kumbuka kwamba Kiwanda cha dangote ni kikubwa afrika mashariki na kati na pia Mahali kilipojengwa kuna deposit kubwa sana ya malighafi kuvizidi vile vya tanga,mbeya, twiga n.k hivyo kufanya hivyo kunaweza kuathiri hivi viwanda vingine vidogo na hatimae kupelekea kufa kabisa. nawasilisha
 
Back
Top Bottom