Nakubaliana na wewe kabisa kwa muono wako,nadhani unaungana na kina Nyerere,Mwinyi,Mkapa,Kikwete pamoja na walowahi kuwa magavana wa benki kuu akiwemo Mtei na vile vile kina Sitta,Tundu lisu na wenzake ktk harakati zenu za kuizika znz kabisa ktk ramani ya dunia,na naamini mna agenda za siri sana...