Jimbo la chadema pemba....tume semeni

MAGEUZI KWELI

JF-Expert Member
Jul 16, 2011
1,947
253
Jamani nilipost jana ila nadhani sikueleweka.

Kwa matokeo yaliyopo kwenye tume ya uchaguzi inaonekana kuwa Chadema walishinda Ubunge Pemba jimbo la Chambani na
A%20S%20embarassed.gif

Wakachakachua ushindi kwa mshindi wa Pili Gamb
A%20S%20embarassed.gif
a.

Angalia matokeo haya ya mwaka jana nilivyoyapata toka kwenye mtandao wa Tume.

Kuna muda kweli wa kwenda mahakamani kudai haki??
A%20S%20embarassed.gif

KUSINI PEMBA
MKOANI
CHAMBANI
Candidate
Political Party
Number of Votes
Percentage Votes
[URL="http://www.nec.go.tz/2010/ParliamentaryPhotos/5b4300a1-f359-4bc6-8b36-bbb683a667c4.jpg"]SITI USSI SHAIB
CHADEMA
3,35176.3
MOH'D ABDUL-RAHMAN MWINYI
CCM
62414.21
MUHAMMED JUMA MUHAMMED
TLP
2114.8
SALEH NASSOR HILAL
TADEA
882
SALIM HEMED KHAMIS
CUF
430.98
SPOILT VOTES751.71
TOTALS4,392100

[/URL]
 
Chadema iliponzwa na kukosa mtandao nchi nzima.hata sasa sijui mkakati wao upoje kabla ya 2015.miaka 4 kwa mikakati ya uchaguzi ni midogo sana!
 
Chadema iliponzwa na kukosa mtandao nchi nzima.hata sasa sijui mkakati wao upoje kabla ya 2015.miaka 4 kwa mikakati ya uchaguzi ni midogo sana!

mtandao upi chadema ilikosa? kama huu wa ccm kuchakachua au kama huu wa tume mwenzetu alipotoa matokeo?
 
Huwa nikiona vitu kama hivi machozi huwa yananitoka. Kwanini Mungu asiwaue wale wote waliohusika na uchakachuaji huu ulio dhahiri? Kwa hakika 2015 YAKITOKEA HAYA NAINGIA MSITUNI
 
Mkuu Mageuzi Kweli,
Hii inaonyesha dhahiri Mgombea wetu aliuza haki ya wapiga kura kwa ccm

Jamani nilipost jana ila nadhani sikueleweka.

Kwa matokeo yaliyopo kwenye tume ya uchaguzi inaonekana kuwa Chadema walishinda Ubunge Pemba jimbo la Chambani na
A%20S%20embarassed.gif

Wakachakachua ushindi kwa mshindi wa Pili Gamb
A%20S%20embarassed.gif
a.

Angalia matokeo haya ya mwaka jana nilivyoyapata toka kwenye mtandao wa Tume.

Kuna muda kweli wa kwenda mahakamani kudai haki??
A%20S%20embarassed.gif

KUSINI PEMBA
MKOANI
CHAMBANI
Candidate
Political Party
Number of Votes
Percentage Votes
[URL="http://www.nec.go.tz/2010/ParliamentaryPhotos/5b4300a1-f359-4bc6-8b36-bbb683a667c4.jpg"]SITI USSI SHAIB
CHADEMA
3,35176.3
MOH'D ABDUL-RAHMAN MWINYI
CCM
62414.21
MUHAMMED JUMA MUHAMMED
TLP
2114.8
SALEH NASSOR HILAL
TADEA
882
SALIM HEMED KHAMIS
CUF
430.98
SPOILT VOTES751.71
TOTALS4,392100

[/URL]
 
Jamani nilipost jana ila nadhani sikueleweka.

Kwa matokeo yaliyopo kwenye tume ya uchaguzi inaonekana kuwa Chadema walishinda Ubunge Pemba jimbo la Chambani na
A%20S%20embarassed.gif

Wakachakachua ushindi kwa mshindi wa Pili Gamb
A%20S%20embarassed.gif
a.

Angalia matokeo haya ya mwaka jana nilivyoyapata toka kwenye mtandao wa Tume.

Kuna muda kweli wa kwenda mahakamani kudai haki??
A%20S%20embarassed.gif

KUSINI PEMBA

MKOANI
CHAMBANI
Candidate

Political Party

Number of Votes

Percentage Votes
[URL="http://www.nec.go.tz/2010/ParliamentaryPhotos/5b4300a1-f359-4bc6-8b36-bbb683a667c4.jpg"]SITI USSI SHAIB


CHADEMA
3,351
76.3
MOH'D ABDUL-RAHMAN MWINYI

CCM
624
14.21
MUHAMMED JUMA MUHAMMED

TLP
211
4.8
SALEH NASSOR HILAL

TADEA
88
2
SALIM HEMED KHAMIS

CUF
43
0.98
SPOILT VOTES
75
1.71
TOTALS
4,392
100

[/URL]

Hii kitu hii!
Ngoja nipate Capuchino kwanza.
 
kila kiongozi aliyepo Chadema ana eneo lake la kumtoa kisiasa

wengine kaskazini, mwingine magharibi na kanda ya ziwa, wengine Dar es salaam

wanakimbilia maeneo ya kuwajenga kama kiongozi binafsi na sio chama
 
GREAT THINKERS?????????????????///


Pemba na CCM NA CHADEMA wapi na wapi? sijaskia hata udiwani kupata chama chengine badala ya CUF pekeeeeeeeeeeeeeee.


Tafakari kabla.
 
sio rahisi kwa mtu aliyepata ushindi zaidi ya 74% akachakachuliwa tena na mtu mwenye 14%, jipange upya uenda utaeleweka.
 
GREAT THINKERS?????????????????///


Pemba na CCM NA CHADEMA wapi na wapi? sijaskia hata udiwani kupata chama chengine badala ya CUF pekeeeeeeeeeeeeeee.


Tafakari kabla.
Daah huu upotoshaji umevuka mipaka,nijuavyo mie pemba yote wabunge wanatoka CUF hiyo ya CCm balaa zaidi ya uongo wa CDM kushinda,
humleweshi mtu hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom