CUF na serikali damu damu

Siasaaa mjomba unajiamini duhh ngoja wafuasi wake waje manake mimi ni pro mbowe
Anaetumia pesa za walipa kodi kumlipa yaya, wa hawara (mke wa mtu) aliyezaa nae nje ya ndoa, perdiem zaidi ya laki kwa siku na kumchukulia hoteli ya zaidi ya laki kwa siku leo anaweza kupanda jukwaani kuyasema hayo, tena bila ushahidi? kweli wajinga ndio waliwao.

TUNTEMEKE yuko wapi?
 
Anaetumia pesa za walipa kodi kumlipa yaya, wa hawara (mke wa mtu) aliyezaa nae nje ya ndoa, perdiem zaidi ya laki kwa siku na kumchukulia hoteli ya zaidi ya laki kwa siku leo anaweza kupanda jukwaani kuyasema hayo, tena bila ushahidi? kweli wajinga ndio waliwao.

TUNTEMEKE yuko wapi?

kapotezwa mkuu ulitaka msaada toka kwake eeeh hayupo tena!
 
Dk. Slaa ametoboa siri ya namna CUF ilivyoamua kuwa sehemu ya ufisadi kwa kodi za watanzania, baada ya kufichua barua mbili ambazo Seif aliomba fedha kwa ajili ya kuhudumia chama na safari za kifamilia za Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar.

Alisema barua ya kwanza ya Katibu Mkuu wa CUF Maalimu Seif kwenda serikalini inaomba kuwezeshwa kufanyika kwa mkutano wao wa chama kwa siku tatu katika eneo la Bagamoyo kwa gharama za sh milioni 34.

Dk. Slaa alisema barua ya pili ni ile inayoomba dola za Kimarekani 10,000 kwa ajili ya nauli ya kwenda Nairobi Kenya kwa mke wa Maalim Seif kwa safari ya kifamilia, ikiwa ni sawa na dola 1,000 kwa siku.

Hapo kwenye BOLD, walipoomba walipatiwa hizo pesa?
 
Tena hao CUF ndiyo watajizika wazima wazima pindi bwana wao nyinyiemu atakapopigwa chini na nguvu ya umma. It is just a matter of time.[/QUOTE
]WACHENI KUMSEMA MKE WA MTU NYIE ANA MIMBA SASA HIVI SUBIRINI HATA AZAE LOL BHIKOLA UNA MATATIZO.
 
Ama kweli tusipoamka tunakwisha. Hii ni nje ya subsidy toka serekalini kwa CUF kila mwezi 128m. Plus..Eh. Halafu hawataki muungano,
 
wazanzibar tunalichukuwa hili na kulifanyia kazi likithibitika malim seif atatafuta roho pa kuiweka huku hapendwi mtu ni
MASLAHI YA umma kwanza ,,hawa wanasiasa wanatuchokonoa sanasana wazanzibar tunadai nchi yetu wanatuletea porojoo sasa wameamua kufanya umoja wa kutuibia zanzibar popular uprising is coming soon
''JAMUHURI YA WATU WA ZANZIBAR KWANZA''
 
Sasa ndo nazidi kuamini kua chadema mpinzani wake ni Cuf sio ccm ya sabodo... lol! Slaa kachanganyikiwa na Tandahimba,kashangaa kuona bendera za Cuf kila pembe, ajabu ametumwa na ccm wakaziharibu ngome za Cuf,bahati mbaya anakutana na watu wanaojua mchele upi na pumba zipi,ndio maana kachanganyikiwa,na vile vile yale mapokezi ya Pr Lipumba yamemchanganya.. Hongera chadema kwa operation yenu ya UA CUF..Natabiri kwa hali hii vifo vya Chadema na ccm vinakaribia...
 
Tatizo letu watanzania wengi hatukufundishwa kufikiri kupitia hoja bali kuzungumzia watu.Mnashindwaje kufikiri kwa kujadili hoja iliyopo mezani?Hoja iliyotolewa ndio tuijadili badala ya kuanza kutaja mimi pro mbowe mara mimi sijui nini.Acheni.

Seif kama anafanya hayo ni makosa.Unaomba hela za mkutano ambao utaimarisha cham chako ili kiendelee kusumbua ccm inawezekana?CUF wanapaswa kutumia ruzuku zao.Wanapotoa hizo hela wanaandika risiti?Na je vocha ya kutoa hiyo hela inaandikwaje?Viambatanishi wanapata wapi kusupport hiyo vocha?Hapa lazima wanabumba matumizi hewa.
 
AMA kweli tusipoamka nchi inakwishi. Hii ni nje ya subsidy toka serekalini kila mwezi zaidi ya 128m. Hee.. Halafu hawataki muungano.
 
Jamani kwani kwa mujibu wa tamaduni za watanzania mke huhudumiwa na nani kama sii mme? Nyinyiem inawajibika kwa mwenzi wake kafu.
.
 
Sasa ndo nazidi kuamini kua chadema mpinzani wake ni Cuf sio ccm ya sabodo... lol! Slaa kachanganyikiwa na Tandahimba,kashangaa kuona bendera za Cuf kila pembe, ajabu ametumwa na ccm wakaziharibu ngome za Cuf,bahati mbaya anakutana na watu wanaojua mchele upi na pumba zipi,ndio maana kachanganyikiwa,na vile vile yale mapokezi ya Pr Lipumba yamemchanganya.. Hongera chadema kwa operation yenu ya UA CUF..Natabiri kwa hali hii vifo vya Chadema na ccm vinakaribia...

Unaongelea ushabiki zaidi kuliko reality.Njoo huku songea uone kama kweli CUF ipo.

Nadhani hujajua kuwa unapofika mahali kabla ya kuongeo chochote lazima ujue aliyekaa mbele yako ana nini na nguvu yake ikoje? Sasa hapo Tandahimba mwenye nguvu ni CUF na ndio maana lazima uongelee huyo kwanza wengine baadae.

CUF haina matumain ya wazi kuweza kushika nchi hii kwa mtazamo wangu. Licha ya kuenea sana huko zanzaibar,CUF imeshindwa kupenetrate huku bara kama ilivyoshindwa kupenetrate chadema huko zanzibar.

Kwa mtazamo wangu ni bora ukashindwa visiwani ukashinda bara kwenye watu wengi zaidi. Kwa ujumla vyama naona sasa ambavyo vinajulikana kwa watu na malengo yake ni viwili tu. Vingine vinasubiri wakati wa uchaguzi.
 
NI UKWELI USIOFICHIKA SASA KUWA CUF NI CCM B
amka2.gif
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimegeuza mashambulizi yake na safari hii kimekishutumu Chama cha Wananchi (CUF) kwa kile walichosema kuwahadaa Watanzania kiasi cha kuaminika kuwa ni wapinzani wa kweli.
Mashambulizi hayo yaliongozwa na viongozi wawili wa juu wa CHADEMA, Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, Dk. Willibrod Slaa wakati wa mikutano mikubwa waliyoifanya jana mkoani hapa.
Mbowe akifungua tawi la CHADEMA katika eneo la Mihuta wilayani Tandahimba alisema mwanzoni walidhani CUF kilikuwa na dhamira ya kweli ya kuwakomboa wananchi na ndiyo maana waliwaachia mikoa ya kusini kwa ajili ya kuendeleza kazi hiyo.
Aliongeza kuwa dalili za wazi za CUF kushindwa kuwatumikia watu wa kusini zimeonekana wazi baada ya kuamua kufunga ndoa ya mkeka baina yake na CCM.
“Ninachoweza kuwaambia wana Mihuta ni kwamba CHADEMA, CUF na CCM si baba yenu wala mama yenu na kama mtaona vyama hivi haviwasemei achaneni navyo, na kwa kuwa CUF na CCM mlivipa dhamana hiyo vikashindwa mviache sasa,” alisema.
Mbowe, amewataka wananchi wa wilaya ya Tandahimba kuihukumu serikali ya CCM kwa vile haitetei maslahi ya Watanzania hususan wakazi wa Tandahimba na sasa inatumia mabavu kuwatisha hata katika haki zao za msingi hususan pale wanapodai kulipwa kulingana na nguvu zao zilizotumika.
“Jamani Tanzania inasifika kwa kutajwa kuwa nchi inayofuata haki na sheria za binadamu lakini leo Wanatandahimba mnapigwa mabomu na askari wanaotumia kodi zenu kwa ajili ya kudai fedha za korosho ambazo kwa makusudi serikali imeamua kuwakopa kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani,” alisema Mbowe.
Alibainisha kuwa hakuna haja ya wakazi wa Tandahimba na Mtwara kwa ujumla kulazimishwa mazao yao kuuzwa kupitia stakabadhi ghalani wakati mikoa mingine haifanyiwi hivyo na wanauza mazao kwa matajiri wanaowataka na bei wanayoitaka.
Dk. Slaa atoboa siri ya CUF
Naye Dk. Slaa alitoboa siri ya namna CUF ilivyoamua kuwa sehemu ya utawala, baada ya kufichua barua mbili zikiomba fedha kwa ajili ya kuhudumia chama na safari za kifamilia za Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar.
Alisema barua ya kwanza ya Katibu Mkuu wa CUF Maalimu Seif kwenda serikalini inaomba kuwezeshwa kufanyika kwa mkutano wao wa chama kwa siku tatu katika eneo la Bagamoyo kwa gharama za sh milioni 34.
Dk. Slaa alisema barua ya pili ni ile inayoomba dola za Kimarekani 10,000 kwa ajili ya nauli ya kwenda Nairobi Kenya kwa mke wa Maalim Seif kwa safari ya kifamilia, ikiwa ni sawa na dola 1,000 kwa siku.
Aidha Dk. Slaa alisema katika taarifa hiyo inaonyesha pia kuna fedha za dharura kwa ajili ya matumizi ya Makamu wa Rais ambayo ni dola 3000 na kudai kuwa huo ni ufisadi usioweza kuvumiliwa na wapenda haki.
Alisema kwa mfumo huo wa CUF kutegemea hata katika mikutano yake ya chama fedha za serikali, ni ushahidi wa waziwazi kuwa inafanya kila kitu kwa kuongozwa na serikali ya CCM.


 
Maalim Seif hana tofauti na Mbowe, Seif anatumia fedha za serikali kupitia cheo chake cha umakamu Zanzibar na Mbowe anatumia kwa cheo chake cha KOB. Ngoma droo wote wachumia tumbo.
 
Maalim Seif hana tofauti na Mbowe, Seif anatumia fedha za serikali kupitia cheo chake cha umakamu Zanzibar na Mbowe anatumia kwa cheo chake cha KOB. Ngoma droo wote wachumia tumbo.

KUB..Kwani tatizo ni nini wakat wananchi wa hai walimpeleka??? una wivu wakike!!
 
KUB..Kwani tatizo ni nini wakat wananchi wa hai walimpeleka??? una wivu wakike!!

Maalim Seif naye amepelekwa SUK na Wazanzibar.

Nimesoma nikaona kumbe CDM na CUF wakikuwa wameigawana Tanzania kwamba CDM kasikazini na CUF kusini!
 
Sasa ndo nazidi kuamini kua chadema mpinzani wake ni Cuf sio ccm ya sabodo... lol! Slaa kachanganyikiwa na Tandahimba,kashangaa kuona bendera za Cuf kila pembe, ajabu ametumwa na ccm wakaziharibu ngome za Cuf,bahati mbaya anakutana na watu wanaojua mchele upi na pumba zipi,ndio maana kachanganyikiwa,na vile vile yale mapokezi ya Pr Lipumba yamemchanganya.. Hongera chadema kwa operation yenu ya UA CUF..Natabiri kwa hali hii vifo vya Chadema na ccm vinakaribia...

Hayo mapokezi ya lipumba unayosema ni yale ya wavutabangi wa manzese walioambatana na mwezao Mtatiro? CUF kwa sasa ni sawa na mwili wa marehemu unaosubiria kuzikwa! Dhambi ya kumnyanyasa Hamad Rashid itawamaliza wote!
 
Sasa ndo nazidi kuamini kua chadema mpinzani wake ni Cuf sio ccm ya sabodo... lol! Slaa kachanganyikiwa na Tandahimba,kashangaa kuona bendera za Cuf kila pembe, ajabu ametumwa na ccm wakaziharibu ngome za Cuf,bahati mbaya anakutana na watu wanaojua mchele upi na pumba zipi,ndio maana kachanganyikiwa,na vile vile yale mapokezi ya Pr Lipumba yamemchanganya.. Hongera chadema kwa operation yenu ya UA CUF..Natabiri kwa hali hii vifo vya Chadema na ccm vinakaribia...
CUF inakufa kijinga sana utaombaje fedha toka serikali ya CCM kufanyia mkutano wa chama, hayo ni matusi makubwa kwa chama kubwa kama CUF ndio maana kwa sasa wameamua kukaa mkao wa kiwana mwali hawawezi kukemea serikali kwenye maovu kama walivyokuwa wanafanya enzi za Ngangari
 
Heshima mbele wana jamvi wenzangu,
Dk. Slaa ametoboa siri ya namna CUF ilivyoamua kuwa sehemu ya ufisadi kwa kodi za watanzania, baada ya kufichua barua mbili ambazo Seif aliomba fedha kwa ajili ya kuhudumia chama na safari za kifamilia za Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar.

Alisema barua ya kwanza ya Katibu Mkuu wa CUF Maalimu Seif kwenda serikalini inaomba kuwezeshwa kufanyika kwa mkutano wao wa chama kwa siku tatu katika eneo la Bagamoyo kwa gharama za sh milioni 34.

Dk. Slaa alisema barua ya pili ni ile inayoomba dola za Kimarekani 10,000 kwa ajili ya nauli ya kwenda Nairobi Kenya kwa mke wa Maalim Seif kwa safari ya kifamilia, ikiwa ni sawa na dola 1,000 kwa siku.

Aidha Dk. Slaa alisema katika taarifa hiyo inaonyesha pia kuna fedha za dharura kwa ajili ya matumizi ya Makamu wa Rais ambayo ni dola 3000 na kudai kuwa huo ni ufisadi usioweza kuvumiliwa na wapenda haki.

Alisema kwa mfumo huo wa CUF kutegemea hata katika mikutano yake ya chama fedha za serikali, ni ushahidi wa waziwazi kuwa inafanya kila kitu kwa kuongozwa na serikali ya CCM.

Jamani huu ni wizi wa waziwazi, na ndo maana CUF nayo inakufa, CDM tukaze buti tuondoe ufisadi na ujinga wa kutumia hovyo rasilimali ya nchi kwa private and personal issues, maana kesho tutasikia wanaomba posho za bibi, mjomba, na kufanikisha harusi ya mdogo wake rafiki wa bibi mzaa shangazi kwa mke mdogo wa babu aliyeko omani

Source: Mkutano wa CDM tandahimba
huo msitari wa mwisho nimeupenda!uko juu
 
Back
Top Bottom