Wingu
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,318
- 401
Siasaaa mjomba unajiamini duhh ngoja wafuasi wake waje manake mimi ni pro mbowe
Anaetumia pesa za walipa kodi kumlipa yaya, wa hawara (mke wa mtu) aliyezaa nae nje ya ndoa, perdiem zaidi ya laki kwa siku na kumchukulia hoteli ya zaidi ya laki kwa siku leo anaweza kupanda jukwaani kuyasema hayo, tena bila ushahidi? kweli wajinga ndio waliwao.
TUNTEMEKE yuko wapi?