Wazanzibar waanza kumbana dk ndalichako wa necta: Gazeti la mwanahalisi

Mtihani unavuja kwa njia nyingi, kwanza ni wanafunzi kupata mtihani halisi lakini kila mwanafunzi akajibu kwa akili yake, lakini pia unaweza kuvuja halafu wanafunzi wakaandikiwa jinsi ya kujibu; hii ya pili ndio hugundulika kwa urshisi kwani sentensi na tarakimu hufanani kwa kila hali.Si ajabu shule kuwa karibu ila moja ikafutiwa mtihani.
hahaha. kama mafuriko yanakikumba kjiji sijui kama nyumba ya udongo itasalimika ianguke nyumba ya zege. halafu habari iishe hapo. Kwanini Necta haigundua Tanganyika. au wao wazoefu wa kukopi? maana std 7 tulsikia wabunge walivyopiga keolele watoto warudi shule. lkn NECTA inafanya unyama huu kwa shule za zEnj HUKO KWAO ndalichako akiziacha na DIV 1
 
Siku ya Alhamisi tarehe 23/7/2009, Mbunge wa Singida Kusini Mh. Mohamed Misanga (CCM) aliahidi kuwasilisha hoja binafsi ya kuundwa tume huru ya Bunge kuchunguza Baraza la Mitihani na Katibu wake mtendaji
 
Exams sio ubwabwa wewe.....:lol::lol:

Siku ya Alhamisi tarehe 23/7/2009, Mbunge wa Singida Kusini Mh. Mohamed Misanga (CCM) aliahidi kuwasilisha hoja binafsi ya kuundwa tume huru ya Bunge kuchunguza Baraza la Mitihani na Katibu wake mtendaji
 
Naomba kujuzwa:
  1. Katika utungaji na kusawazisha(?), na usahihishaji (setting, moderating and marking) wa mitihani hii inayotoka NECTA; je kuna ushiriki wa walimu kutoka ZNZ?
  2. Wasimamizi (supervisors and invigilators) wa mitihani hii kwa Unguja wanatoka wapi? (Nataka kujua kama ni walimu waliopo hukohuko Unguja au wanatokea Tanganyika)
  3. Mtaala unaotumika Unguja ndo huu tunaoufahamu huku Tanganyika?
 
Naomba kujuzwa:
  1. Katika utungaji na kusawazisha(?), na usahihishaji (setting, moderating and marking) wa mitihani hii inayotoka NECTA; je kuna ushiriki wa walimu kutoka ZNZ?
  2. Wasimamizi (supervisors and invigilators) wa mitihani hii kwa Unguja wanatoka wapi? (Nataka kujua kama ni walimu waliopo hukohuko Unguja au wanatokea Tanganyika)
  3. Mtaala unaotumika Unguja ndo huu tunaoufahamu huku Tanganyika?

Mkuu wangu nadhani Taasisi kama Necta wanaye afisa habari na hapa angekuja na majibu ya mambo mengi yanayoulizwa na kubishaniwa humu lakini sidhani kama wanaingia humu ama wanajua umuhimu wa kushiriki ktk mitandao ya kijamii kama JF.
 
Mleta hoja hebu kwanza kuwa specific,huyo aliyekuwa anahojiwa na Gazeti la Mwanahalisi ni nani?Isije ikawa wamepita kwenye kijiwe cha gahwa halafu wanaripoti tu ***** wanaoupata vijiweni!!

Hivi jamani kwani lazima ukipata mtihani ukamatwe na vithibitisho kwenye chumba cha mtihani?Hata kama hizo shule nyingine walipata mtihani pia lakini je kama hawajafanya vitendo vya udanganyifu katika mitihani yao lazima wafutiwe matokeo pia?

Na uhakika Mwanahalisi imeripoti habari hizi kutoka vyanzo vya uchochoroni!Craaaappp!!
 
Ni uchochezi tu. Mimi nikiishi na jirani ambaye ni mwizi, nitaiba pia kama siyo tabia yangu? ***** huu...
 
Leo nimesoma gazeti la Mwanahalisi na kuona makala moja inayopinga hoza za Dk Ndalichako kuhusu kufutiwa matokeo ya wazanzibar.
makala hiyo inazungumzia jinsi matokeo hayo yalivochahakachuliwa.
kwa mfano, wanadai kuna shule zipo pua na mdomo, moja imefutiwa matokeo ya wanafunzi 170 na mmoja kusalimika , lakini nyegine haikuguswa na hata mtu mmoja. Makala hiyo inadai haingii akilini swali hili la Mtihani uvuje sehemu ya shule usiambukize shule nyengine.
kwa mfano kutoka shule ya kiislam na hadi shule ya Kiembe samaki ni dakika 2 kwa miguuu. lkn shule ya kiembe samaki hakuna alieguswa shule ya kiislam amesalimika 1 kati ya 52. hivyo hivyo kwa shule ya Hamamni na Vikokotoni, Benbella na Haile salas ambazo zipo karibu sana. lkn Hamamni ambayo inaonekana inafanya vizuri zanzibar imebakwa na Necta kwa kuwafutia matokeo ya wanafunzi 152 kati ya 172 lakini hizo nyegine hakuna alieguswa. Hii anasema sawa na moto umeunguza nyumba ya mtaa mmoja ukaambukiz mtaa wa 2 lkn nyumba za jirani zimeachwa. moto huu wanadai utakuwa wa Kichawi
lkn pia anadai haiwezekani uvuje Zanzibar ushindwe kuvuja bara hasa huko wanafunzi waliopata div1 yaani hapa shule za seminary
pia wanadai Necta imejaribu kufuta zile shule ambazo ni bora kw miaka ya nyuma huko Zanzibar na kupeleka Alama ya D na F shule ambazo zimepakana na shule zilizofutiwa matokeo.
Pia imejidai hao wanafunzi wa shule waliofutiwa ambao wao wamesalimika wameangua Div 1v kwa alama ya D na F.

jeografia ya zanzibar kutoka shule hadi shule ni dakika 5 hadi 10 kwa miguu huku mtihani ulifanywa siku 14.

lakini haiwezekani uvuje zanzibar usipande meli au Ndege kufika Iringa na Bukoba.lkn hat hii njia ya Email au simu nayo ipo lkn nndalichako anadai Wabongo hawakuona.
Kikubwa zaidi wanadai shule zilizolengwa na sakata hili shule ambazo zikifanya vizuri sana huko nyuma mfano shule ya Mikunguni, High view na Lauret.
pemba shule ya kiislam wamefutiwa wote .

Hivi kwanini 1997 mtihani ulifutwa?jee unaamini mtihani unaweza kuvuja Shule 1 halafu usiangukie shule nyengine?tena ukiwa kwa mwanafunzi siku 14 mkononi?. hakuna duniani formula walioutumia NECTA.

Mimi naamini NECTA WAMAEYACHAKACHUA HAYA MATOKEO

hiyo sio hoja ya msingi. Inamaana unawaambia wampinzani waanzishe tume yao ya uchaguzi ?

niwajuavyo wabongo kwa kuiba mtihani hata la saba waliula. washindwe huuu. hapa ndalichako aje na hoja nyengine

hapa ndalichako analake jambo

makala ile akisoma ndalichako lazima asifanye kazi siku nzima. maana itamtia homa

hivi darasa la saba la bongo wameambiwa warejee mitihani,. sababu kubwa ya waziri kwamba wadau hasa wabunge na wanaharakati wamepiga kelele. NECTA inabaka Elimu hata wanafunzi . hivi hizi div 1 za bongo zinatokana na msg za simu kutoka Zanzibar nini? ndalichako amezifumbia macho

ndalichako alisema kwamba mtihani ulivuja. Na sio wanafunzi. Lkn ndalichako ameshindwa kuwapeleka walionekana na hizo simu polisi. Jee kama mtu anaonekana na bukuleti ndani ya mtihani halafu hakamatwi. Ndalichako anadai kamuona na simu. Hakumnyanganya simu. Ukweli wake unaingia mashaka

Mkuu kastarehe wangekuwa karibu ungewachapa kibao naona. Ila hawa watu wanaboa sana. Kama kunaushahidi kuwa shule nyingine waliiba wapeleke baraza. Kama wanadhani wameonewa wakate rufaa. Hawa watu wanatakiwa wakamatwe na kufunguliwa mashitaka ya uchochezi
MS Udini utakuua
 
Leo nimesoma gazeti la Mwanahalisi na kuona makala moja inayopinga hoza za Dk Ndalichako kuhusu kufutiwa matokeo ya wazanzibar.
makala hiyo inazungumzia jinsi matokeo hayo yalivochahakachuliwa.
kwa mfano, wanadai kuna shule zipo pua na mdomo, moja imefutiwa matokeo ya wanafunzi 170 na mmoja kusalimika , lakini nyegine haikuguswa na hata mtu mmoja. Makala hiyo inadai haingii akilini swali hili la Mtihani uvuje sehemu ya shule usiambukize shule nyengine.
kwa mfano kutoka shule ya kiislam na hadi shule ya Kiembe samaki ni dakika 2 kwa miguuu. lkn shule ya kiembe samaki hakuna alieguswa shule ya kiislam amesalimika 1 kati ya 52. hivyo hivyo kwa shule ya Hamamni na Vikokotoni, Benbella na Haile salas ambazo zipo karibu sana. lkn Hamamni ambayo inaonekana inafanya vizuri zanzibar imebakwa na Necta kwa kuwafutia matokeo ya wanafunzi 152 kati ya 172 lakini hizo nyegine hakuna alieguswa. Hii anasema sawa na moto umeunguza nyumba ya mtaa mmoja ukaambukiz mtaa wa 2 lkn nyumba za jirani zimeachwa. moto huu wanadai utakuwa wa Kichawi
lkn pia anadai haiwezekani uvuje Zanzibar ushindwe kuvuja bara hasa huko wanafunzi waliopata div1 yaani hapa shule za seminary
pia wanadai Necta imejaribu kufuta zile shule ambazo ni bora kw miaka ya nyuma huko Zanzibar na kupeleka Alama ya D na F shule ambazo zimepakana na shule zilizofutiwa matokeo.
Pia imejidai hao wanafunzi wa shule waliofutiwa ambao wao wamesalimika wameangua Div 1v kwa alama ya D na F.

jeografia ya zanzibar kutoka shule hadi shule ni dakika 5 hadi 10 kwa miguu huku mtihani ulifanywa siku 14.

lakini haiwezekani uvuje zanzibar usipande meli au Ndege kufika Iringa na Bukoba.lkn hat hii njia ya Email au simu nayo ipo lkn nndalichako anadai Wabongo hawakuona.
Kikubwa zaidi wanadai shule zilizolengwa na sakata hili shule ambazo zikifanya vizuri sana huko nyuma mfano shule ya Mikunguni, High view na Lauret.
pemba shule ya kiislam wamefutiwa wote .

Hivi kwanini 1997 mtihani ulifutwa?jee unaamini mtihani unaweza kuvuja Shule 1 halafu usiangukie shule nyengine?tena ukiwa kwa mwanafunzi siku 14 mkononi?. hakuna duniani formula walioutumia NECTA.

Mimi naamini NECTA WAMAEYACHAKACHUA HAYA MATOKEO

hiyo sio hoja ya msingi. Inamaana unawaambia wampinzani waanzishe tume yao ya uchaguzi ?

niwajuavyo wabongo kwa kuiba mtihani hata la saba waliula. washindwe huuu. hapa ndalichako aje na hoja nyengine

hapa ndalichako analake jambo

makala ile akisoma ndalichako lazima asifanye kazi siku nzima. maana itamtia homa

hivi darasa la saba la bongo wameambiwa warejee mitihani,. sababu kubwa ya waziri kwamba wadau hasa wabunge na wanaharakati wamepiga kelele. NECTA inabaka Elimu hata wanafunzi . hivi hizi div 1 za bongo zinatokana na msg za simu kutoka Zanzibar nini? ndalichako amezifumbia macho

Mkuu kastarehe wangekuwa karibu ungewachapa kibao naona. Ila hawa watu wanaboa sana. Kama kunaushahidi kuwa shule nyingine waliiba wapeleke baraza. Kama wanadhani wameonewa wakate rufaa. Hawa watu wanatakiwa wakamatwe na kufunguliwa mashitaka ya uchochezi
Ms nenda tu kajifunze ugaidi achana na mambo ya ilim dunia
 
lkn shule ya kiembe samaki hakuna alieguswa shule ya kiislam amesalimika 1 kati ya 52. hivyo hivyo kwa shule ya Hamamni na Vikokotoni, Benbella na Haile salas ambazo zipo karibu sana. lkn Hamamni ambayo inaonekana inafanya vizuri zanzibar imebakwa na Necta kwa kuwafutia matokeo ya wanafunzi 152 kati ya 172 lakini hizo nyegine hakuna alieguswa.
haya ni matokeo ya 2010 ya hizo shule

DIV 1
DIV 2
DIV 3
DIV 4
FAILED
[h=3]HAMAMNI [/h]0
1
42
140
38
[h=3]VIKOKOTONI[/h]1
2
55
31
1
[h=3]BEN BELLA[/h]11
23
42
74
3
[h=3]KIEMBESAMAKI[/h]1
0
16
224
115

kama hii ndo historia mnayoililia basi kuna tatizo kubwa ,
Msianze kutafuta mchawi wakati mazingira mabovu mnayaona wenyewe.....
 
Naomba ianzishwe Zanzibar Islamic Examinations Council (ZIEC)

Watumishi wake watakuwa ni hawa hapa....

Female-Terrorists.jpg
 
Hivi kwanini 1997 mtihani ulifutwa?jee unaamini mtihani unaweza kuvuja Shule 1 halafu usiangukie shule nyengine?tena ukiwa kwa mwanafunzi siku 14 mkononi?. hakuna duniani formula walioutumia NECTA.


Mchakato wa kupata katiba mpya upo njiani huenda ikazaa katiba tatu Rasmi, TANGANYIKA, Zanzibar na ya Muungano.
 
hapa ndalichako analake jambo

No. Ninyi ndo mna lenu jambo na Dr. Joyce. Shule zilizofutiwa matokeo zipo hata za bara, kwa nini malalamiko yatokee upande mmoja tu wa visiwani? Suala la kwamba shule ziko karibu karibu lakini mojawapo haijafutiwa matoke ni hoja mfu. Mtihani umeibwa ktk chumba cha mtihani, so kuvuja.
 
Back
Top Bottom