Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 2,790
- 1,232
Kumbuka kuwa hata Tanganyika haiwezi kufikisha jambo lolote Un kwa sababu haitambuliki kisharia. Na unaposema Tanzania maana yake ni Tanganyika na Zanzibar.
Tunachohoji vipi Tibaijuka waziri wa Ardhi wa Tanganyika apeleke maombi UN kwa niaba ya Tanzania pasi na kuhusisha Znz huusan watunga sharia wa nchi hizo mbili huru zilizoungana kimkataba?
CUF na BLW wameliona hilo japo Chadema wanalipinga kiaina. Kwani hilo sio tatizo kwenu kwani nia yenu ni kuidhulumu Znz na kukuza tanganyika. Znz wameliona hilo na mpaka kieleweke.
lazima mjue Zanzibar ni nchi kamili yenye mamlaka kamili kwa mujibu wa sharia za Znz. Na Muungano wanalijua hilo.
CHADEMA tena? eeh? Sikujua kama ule ujumbe uliokwenda UN ulikuwa ni chadema. Kwanini huitaji CCM hapa wakati ndiyo ma architect wa mpango mzima?