Baada ya malumbano marefu na ya siku nyingi tena ikiwa ktk maeneo tofauti na mada ya hapo juu ama ktk thread nyengine ambazo hazihusiani na kadhia hiyo,leo nimeona niweke thread maalum kwa kadhia hii baina ya Cuf na Chadema ipi ni CCM-B,ambapo humu hasa itakuwa ndio sehemu yake na kupeana point muhimu na matukio yalotokea nyuma baina ya vyama hivi..
Muhimu ni kujenga hoja na kuweka ushahidi,hii itasaidia kuwaweka wazi wadau na kuweza kujadili kwa kina,lkn si hivo tu bali itavisaidia vyama hivi kuangalia wapi wamekosea..
Matusi hayatojenga wala hayatosaidia na itakuwa ni mwisho wako wa kufikiri umefika hapo.
Nataraji tukifanikisha mada hii,nitaleta thread nyengine kuonesha ushirikiano wa chadema na cuf ulivyokuwa na ulivyoyayuka ghafla na kilichotokea baada ya hapo lkn pia itaonesha umuhimu wa kuungana kwa vyama hivi pamoja na kuonesha maeneo ya TZ ambayo Cuf inakubalika na Chadema inakubalika na wana JF mtatoa mawazo yenu kwa vyama hivyo nini vifanye
NAAMINI USHIRIKIANO WA VYAMA VYA UPINZANI NDIO UTAKAOWAONDOA CCM MADARAKANI. Jaribu kufikiri CCM imejipanga vipi na kila kitu kipo chini ya CCM NA MKUU M/KIJIJI KAELEZA KATIBA INAYOKUJA..
LENGO 2015 CCM IWE BAIBAI HAPA NA ZNZ - UMIMI - UWEWE UWEKE PEMBENI.
INAWEZEKANA IKAWA NIMEWEKA MADA MBILI KWA WAKATI MMOJA.
UWANJA WAKO
Muhimu ni kujenga hoja na kuweka ushahidi,hii itasaidia kuwaweka wazi wadau na kuweza kujadili kwa kina,lkn si hivo tu bali itavisaidia vyama hivi kuangalia wapi wamekosea..
Matusi hayatojenga wala hayatosaidia na itakuwa ni mwisho wako wa kufikiri umefika hapo.
Nataraji tukifanikisha mada hii,nitaleta thread nyengine kuonesha ushirikiano wa chadema na cuf ulivyokuwa na ulivyoyayuka ghafla na kilichotokea baada ya hapo lkn pia itaonesha umuhimu wa kuungana kwa vyama hivi pamoja na kuonesha maeneo ya TZ ambayo Cuf inakubalika na Chadema inakubalika na wana JF mtatoa mawazo yenu kwa vyama hivyo nini vifanye
NAAMINI USHIRIKIANO WA VYAMA VYA UPINZANI NDIO UTAKAOWAONDOA CCM MADARAKANI. Jaribu kufikiri CCM imejipanga vipi na kila kitu kipo chini ya CCM NA MKUU M/KIJIJI KAELEZA KATIBA INAYOKUJA..
LENGO 2015 CCM IWE BAIBAI HAPA NA ZNZ - UMIMI - UWEWE UWEKE PEMBENI.
INAWEZEKANA IKAWA NIMEWEKA MADA MBILI KWA WAKATI MMOJA.
UWANJA WAKO