Ndugu,Nimekuwa nafuatilia vyombo mbalimbali vya kimataifa ikiwemo BBC,Aljazeera,CNN na Press TV wao wanasema kuwa ugonjwa wa mafua ya nguruwe HAUNEZWI na wanyama hao na kwamba hakuna nguruwe hata mmoja aliyekwisha kufa kutokana na ugonjwa huo,ingawa katika kueleza ugonjwa huo kwenye TV wanatumia...