Mkuu nakubaliana na wewe, lakini kama hayo yangekuwa yana ukweli kwenye real life kusingekuwa na vyama vya wafanyakazi kulinda maslahi ya wafanyakazi maana ingekuwa mradi uko kazini vumilia matatizo yote.-something is better than nothing
-kazi mbaya ukiwa nayo
-bad job is the one you have,leave it and you will see how good it was
''usawa haupatikani kwa mzani kuwa sawa,inategemea na mpimaji mwenyewe''
hayo ni majungu tu, soko la ajira liko wazi kwanini usiache kazi kama IPP hailipi, nenda New Habari au kule channel ten ukale kuku kama wenzio.
IPP ina policy zao, na IPP NI TAASISI KUBWA mENGI KUTOA MISAADA UJUE WAKATI MWINGINE SI PESA ZA IPP, yeye anaubia na makampuni mengi kama jina lake.....
wito wangu kwako kimbia hapo.....nenda hata dailyNews ukalipwe TGS D. Kama hutaki vumilia .
ukoko....poleni sana, nilichotaka kumwambia huyu mmbea ni kua kila taasisi inamatatizo, awe mvumilivu, tatizo kidogo unakimbilia kumeleza jirani yako, kazi mbaya ukiwa nayo....asante kwa taarifa kama hata Channel ten mambo magumu na bado mnasubira.Kakwambia nani ,mimi niko channel ten lakini na sisi hatujapa chetu hadi leo,tehuku ni balaa tupu