Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Kuhusu Zanzibar kuwa na Mahakama za Kadhi, sheria zao zinaruhusu, za Bara haziruhusu kuchanganya siasa na dini. Pia fungua macho vizuri kama Zenj hakuna mushkeli. Juzi kuna kanisa limechomwa moto na sheha alionyesha kutokukerwa na suala hilo. Kadhi Mkuu wa Zenj anateuliwa na Rais wa Zanzibar. Inategemea sheria zao na lifestyle yao. Pia wazenj hawavunji katiba ya jamhuri ya muungano kwa kuwa suala la mahakama ya kadhi sio la muungano. Waislamu kama wanataka kuishi kwa amani waunde Mahakama na kuigharamia wenyewe kama wanavyoigharamia BAKWATA. Nani amewauliza chochote juu ya kujiendesha na kujigharamia wenyewe? Pinda kama anataka kusilimu afanye mwenyewe, hakuna anayemzuia!
 
hii hapa ndio timu ya masheikh na wanasheria wa kiislam itayokutana na CCM na serekali kuhusu mahakama ya kadhi. jee nini hatma ya kadhia hii?

Bwana Suleiman Lolila,Sheikh taufiq malilo,sheikh ferej Hassan, sheikh Abdalla nyasi, sheikh ismail habib, sheikh Muharrami Juma Doga na Sheikh Alhad Mussa. wengine ni sheikh Hamid Masoud Hatib, sheikh suleiman Amran kilemile, sheikh Twaha suleiman Bane, sheikh twalib Ahmad, sheikh abdalla bawazir, sheikh juma pori, sheikh Mussa Yussuf kundecha. wanasheria walioteuliwa na Mufti ni ni mawakili wa Kujitegemea Bwana IssA maige , bWANA Abdalla Matumla na Bwana yahya Njama
samahani mkuuu lakini naombma nifahamu source ya hiii habari?
 
Hiyo mahakama itaendeshwa kwa kodi ya watanzania wote au sadaka za waaminio

Kwanza wewe unalipa kodi?. Maana usiwe unapigia kelele kodi kumbe upo nje ya nchi hata rates za kodi huzifahamu Tanzania. Nilipokuwa nasoma course ya Taxation tuliambiwa kuwa "there is no quid pro quo relationship" kwa mlipa kodi na serikali. Ukiisha lipa hutakiwa kuexpect anything on return. Sasa kama mahakama italipwa na serikali au wafadhili wa uislamu its non of your right to know.
 
mambo ya dini washughulikie wenye dini wenyewe, ya nchi yabaki ya nchi yenyewe, why kuchanganya mambo?au sababu JK nae ni wale wale sasa wanataka watumie fursa?hii ni nchi na sio msikiti wala kanisa!!
 
Hoja hii imejadiliwa vya kutosha katika eneo hili,kuhusu wasialam kugagania kadhi huku wakitambua kuwa wanataka ajira.Swali ,Hivi nyinyi waislam hamuwezi kuanzisha hiyo mahakama yenu bila kuihusisha Serikali? au hamna mtaji.Mnataka kadhi alipwe fedha za walipa kodi ambao siyo waislam,hivi vitu vitenganishwe.Mishahara ya Ma-Kadhi wote walipwe na Serikali ? HIyo haitawezekana kwa hapa Tanzania bara.Mambo ya kiroho,yabaki misikitini sityo kupangiwa bajeti na bunge letu
 
Mzee wa hoja heshima mbele.

Hoja zipo nyingi sana inategemea wewe umelalia upande gani.

Hoja ya kwanza tunakubaliana kwamba serekali JMT kwa mujibu wa katiba haipaswi kuingilia ama kujishughulisha na masuala ya dini.

Hoja ya pili tunakubaliana kwamba mahakama ya kazi ohoo samahani mahakama ya kadhi ni sehemu ya ibada katika uislam hivyo basi waislam wanapaswa kuendesha ibada yao muhimu kwa gharama zao na taratibu walizojipangia bila kuingiliwa na serekali.

Hoja ya tatu tunakubaliana kwamba mahakama ya kazi ohoo samahani sijui kwanini kila mara nakosea ,mahakama ya kadhi itatoa ajira kwa waislamu tu kwasababu waislamu ndiyo wanaoweza kutoa tafsiri sahihi na kwa mujibu wa qurani tukufu.Kwa mtaji huo basi mahakama ya kadhi itakuwa inakiuka katiba ya JMT kwa kutoa upedeleo kwa watu wa dini moja.

Hoja ya nne nimewahi kusikia na bado tunaendelea kusikia malalamiko kutoka jumuiya mbali mbali za kiislamu na wanazuoni wakubwa wa kiislamu kwamba BAKWATA imeundwa na serekali na hivyo kushindwa kutoa huduma nzuri kama iliyokusudiwa.Nimejaribu kufikiri sana hoja za ndugu zangu waislamu eti BAKWATA ni mbaya kwasababu tu imeundwa na serekali,leo waislamu hao hao wanataka tena serekali iwaundie mahakama ya kazi ohoo samahani mahakama ya kadhi????????????????????.
 
Last edited:
Wewe ndugu ni mwislamu halisi? maana kwa mwislamu mwenye akili timamu anajua kuwa mahakama ya kadhi itasababisha waislamu wengi kuhamia ukristo!
 
Wewe ndugu ni mwislamu halisi? maana kwa mwislamu mwenye akili timamu anajua kuwa mahakama ya kadhi itasababisha waislamu wengi kuhamia ukristo!

kwi kwi kwi... mchungaji Waberoya unanichekesha sana...
 
kwi kwi kwi... mchungaji Waberoya unanichekesha sana...

WOTE WANAOTETEA MAHAKAMA YA KADHI JIBU MASAWALI HAYA KWA KUWEKA NDIYO AU HAPANA. (1) Mahakama ya kadhi inaweza kuendeshwa bila gharama za Serikali . (2)Katika Mahakama ya kadhi wasio waislam hawataruhusiwa kuhudumu. (3)Mahakama ya kadhi ni suala linalotakiwa kuendeshwa na wasialam pekee lakini uendeshaji wake utegemee fedha za waumini wa dini zote (4)Kwa kuwa wasialam hawana fedha ya kuiendesha,serikali isiporidhia kutoa fedha za uendeshaji,ndiyo utakuwa mwisho wake.Maswali mengine nitayatoa baada ya kupata majibu
 
Mzee wa hoja huna hoja. Hakuna hata sababu moja ya msingi inayo tulazimu tuwe na mahakama ya Kiislam, zaidi ya kutaka kuleta mtafaruki wa sheria, kama ilivyo utamaduni wenu wafuasi wa Marehemu Mwamadi.

Waislam wameshindwa kutueleza ni kwanini wanafikiri hiyo mahakama ya Kiarabu ni bora kuliko secular courts, inter-alia, if the issue is sharia to be executed, then you are free to execute in your Msq without breaking the laws of the nation.

Uislam umejaa fitna na shaka na kushindwa kujitangaza kwa uhuru, ndio maana mnatumia/ng'ang'ania hiyo muhammadic way ya kusubmit watu kwa mijeredi, ambayo kamwe haita fanya wala fanikiwa Tanzania.

Compareing Tanzania with Kenya and Uganda is a clear picture that hujuwi usemalo zaidi ya kuongozwa na fikra za kidini na kufuata mkumbo.
 
JF imeingiliwa na walimu wa madrast..basi ni tabu moja kwa moja.kila kitu wasilamu ee..wasilamu aaa...Humu jamvini inabidi tupendekeze uanachama sasa isiwe bure..maana uanachama wa bure una karaha zake..yaani kuna mada inaendelea halafu jibaba jingine badala ya kupost kule linaweka post yake kuwa thread..Yaani kero!
 
Same thing, bogus. Who wants to know these lunatics. They are upsetting my stomach.

Mod join these kadhi threads.
 
This kadhi thing is a proof that Islams are very inferior to Christians.
 
JF imeingiliwa na walimu wa madrast..basi ni tabu moja kwa moja.kila kitu wasilamu ee..wasilamu aaa...Humu jamvini inabidi tupendekeze uanachama sasa isiwe bure..maana uanachama wa bure una karaha zake..yaani kuna mada inaendelea halafu jibaba jingine badala ya kupost kule linaweka post yake kuwa thread..Yaani kero!
mara waislamu hivi mara waislamu vile....ni hayo tu.....

mpemba.....mzeewahoja ni mtambo nashindwa kuelewa mds hawajamshtukia.....angalia thread zake....ni uislamu tu.....alafu sasa keshawaambukiza na ma senior JF kama mkandara na GT.......
 
Katika population ya WaTZ, 1/3 ni wakrsito, 1/3 ni wakristo. 1/3 hawafungamani na dini yoyote ya kigeni (wanawaita wapagani). lakini Ukiangalia ugawanyo wa media utaonaje? sijaona scientifica document nitatafuta. Nikiangalia ratio ya mgawanyo wa media kwa Serikali😛rivate:wakristo:waislam:Others nadhani hapo utaona kabisa kuwa Jamii ya kiislam ina sehemu ndogo. Lobbyong inahitaji sana eneo la media sana hasa zama hizi. watu hawategemei kupata ujumbe kwenye misikiti au makanisani, people shold get a mesege where there are.
Your damn Right something must be done, there is obviously few islamic media outlets! compared to christian faith..Muslim leaders should work hard to deliver the islamic message to the public at large. I don't see that happening without investing in Media. Though they have long way to go!!
 
Same thing, bogus. Who wants to know these lunatics. They are upsetting my stomach.

Mod join these kadhi threads.
Utakufa kwa chuki ndugu...punguza kidogo walau uwe Mtanzania too much (hate) is coming kwenye hilo koo lako. Lipumzishe hilo koo lako na hatred utapata amani ya bwana!! wacha nasi tufarahi na mahakama zetu
Unaona shida gani jirani yako (muislamu) akifurahia mahakama ya kadhi Tanzania after all this long struglle (20 years)
 
Utakufa kwa chuki ndugu...punguza kidogo walau uwe Mtanzania too much (hate) is coming kwenye hilo koo lako. Lipumzishe hilo koo lako na hatred utapata amani ya bwana!! wacha nasi tufarahi na mahakama zetu
Unaona shida gani jirani yako (muislamu) akifurahia mahakama ya kadhi Tanzania after all this long struglle (20 years)
wewe jamaa nae.....sasa max ka hate nini? kasema kweli threads za kadhi zimekuwa nyingi na zoote zinaongelea kitu kile kile......zinganishwe......tatizo nini ustaadhat?

katika hio list muongeze GT......
 
Utakufa kwa chuki ndugu...punguza kidogo walau uwe Mtanzania too much (hate) is coming kwenye hilo koo lako. Lipumzishe hilo koo lako na hatred utapata amani ya bwana!! wacha nasi tufarahi na mahakama zetu
Unaona shida gani jirani yako (muislamu) akifurahia mahakama ya kadhi Tanzania after all this long struglle (20 years)

Nini kipya kitaletwa na hiyo mahakama ya kimwamadi. Hiyo strugle ni yanini na nani?
 
I am eager to know kama Pinda kafuta kauli .Je kuna mtu mwenye news hizi ? Point ni leo Pinda kufuta kauli , je amefanya hivyo ?mwenye nyeti atumwagie
 
Back
Top Bottom