Recent content by bundalamoe

  1. B

    Kuchepuka raha

    Looi pole huna haya wala huogopi mungu kwa kujitangazia una chepuka sasa ukua urgent wa shetani gonjwa likingia ndani utakumbuka kipamia maaana hiyo ndizi itakua njiti subilini ukimwi
  2. B

    Mwanaume wa kuanza nae maisha

    Mimi ni mwislaam sorry
  3. B

    Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

    Kaka huko uliko umepita mpaka wee Unajitambua lakini mwenyezimungu sio binadamu please brother hata kama umeshiba au una njaa umelala au umesimama fikiria kabla ya kunena muombe Sana mwenyezimungu umfahamu utakua ni mtu mwenye hekma mtulivu na mwenye subra ya khali ya juu please sisi tukiwa na...
  4. B

    Nimechoka kufanyishwa mapenzi

    Wewe ni dini gani kama muislamu kuna duaa wakati wa kulala ukiamka kila tendo lina duaa
  5. B

    Hizi sio ndoto za kawaida

    Sio kweli sayansi gani hiyo upande wa kulia ndio salaam zaidi
  6. B

    Mama Salma amvaa Waziri Mkuu bungeni kuhusu ufisadi wa bilioni 30

    Waziri Mkuu mchapa kazi mzalendo hana mjigambo wala kejeli next big boss
  7. B

    Jinsi mabenki yanavyonyonya na kuleta umaskini

    Your right brother unaongea kweli hata hiyo family Rothrich family ndio miongoni mwa masonc wakubwa na wanao ukumbatia mfumo huo wa pyramid
  8. B

    Ni nini hasa ndio chanzo cha mgogoro kati ya USA na North Korea

    Huu ni urafi na ubeberu wa marekani Kaka huu ndio mwisho wa marekani Taifa la dhurma
  9. B

    Naamini atakachofanywa North Korea na Marekani kitakuwa ni Funzo ulimwenguni

    Huna unalo lijua nyuma ya mzee punk kuna rushia chaina Iran Kaka juzi nilikua Moscow khabari zina tisha hakuna mshindi hapo mshindi ni Yule atakae acha Vita
  10. B

    Natafuta mume

    Masha Allah akulipe kwa kweli wako mimi ktk hizo sifa ninazo njoo in box tuongee
  11. B

    More than serious nahitaji mume wandugu

    Naheshimu Sana hisia zako kwanza mungu akufanyie wepesi mimi niko very serious Nahitaji mke njoo in box
Back
Top Bottom