Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Mume akitaka apate muda wa kuwa na kimada wake lazima aanzishe timbwili nyumbani. Kitu kidogo utafokewa wee ili ujibizane nae apate ticket ya kununa na kuchelewa kurudi nyumbani.
.
.
Dawa yao ni kukaa kimya. Akianzisha timbwili unamuangalia tu, abwabwaje achoke! Na wanaume wa siku hizi sijui wametokea pande zipi yaani wanapenda kununanina na maghubu kama wanawake.
ama kweli hii mada imetukamata pabaya. Utadhani wanaume wote tumelazwa wodini leo
 
Ndo hapo sasa harafu kinachomununisha sijui kitu gani! Uende kwa raha zako,harafu uninunie mie,ndo maana nawaambia wajifunze kwa wanawake hakuna mwanamke anayetoka kuchepuka arudi home amenuna hayupo!! Anarudi kwa tabasamu la bashasha maana anakua mwepesi mpaka basi hata ukimwambia apande mlima uluguru kwa kukimbia mbona anaenda.
Wanasema eti wanajinunisha ili wasiulizwe maswali wakirudi nyumbani.
 
Looi pole huna haya wala huogopi mungu kwa kujitangazia una chepuka sasa ukua urgent wa shetani gonjwa likingia ndani utakumbuka kipamia maaana hiyo ndizi itakua njiti subilini ukimwi
 
Miaka yote hukujua kuwa ni kibamia,yaani unavyosema mmeoana miaka mingi maana yake kakuchoka na akawa anapata raha kwingine labda hujui kapata shimo la saizi yake na la kwako kaliona kubwa kupita kiasi halikuwa linamfurahisha kwa huo ukubwa uliopitiliza.
Wache we!!! Mlivyo na maneno sasa!!
Nae ndio kapata sasa ya size yake.
 
Ndio maana nasema wadada jamani tusikimbilie kuolewa kabla hatujajipanga jamani kwa karne ya sasa kutegemea mwanaume kwa kila kitu ilikua zamani tusiwe tegemezi .... Ukiwa na cha kujishikisha anakuzingua unajiondokea unapanga unaanza maisha yako vizuri tuuu bila kusumbuliwa na mtu anayeitwa mwanaume
Unaolewa una miaka 20 ili iweje?
Exactly
 
Vichwa vya familia vikiwa vijinga visipojitabua husababisha hata viwiliwili visijitambue.
Kabisa! Sasa kichwa hakifanyi kazi unategemea nini kwa mfano!!
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom