Nimechoka kufanyishwa mapenzi

Nimechoka kufanyishwa mapenzi

Hata mm nilishawahi kuota ndoto km hiyo tena narafiki yng... Ila nilichokuja kukigundua nibalehe tu ilikuwa inszingua
 
kila siku nagombana na wanaume hakuna mwanaume ninaekaa nae muda mrefu Yan nashikwa na hasira za mara kwa mara nikifanya mapenzi siinjoy[B/] kabisa mpaka mpz wangu amechoka


Mshana Jr. nilichokuwa nauliza nimepata jibu!!!.....je kuna tiba/solution???
 
Pole sana Tuchki.
Hiyo shida ipo katika mlango wa ndoto yako.
Kama ana amini katika Damu ya Yesu, itakuponya
,itabidi uombe toba kwa jambo lililofungua mlango huo wa ndoto kumilikiwa na hiyo hali.
Kuomba toba kwa madhara yalio jitokeza kutokana na hiyo hali.
Kufunga na kuulinda mlango wa ndoto usitumiwe na pepo yeyote, kumbuka uki mkabidhi Yesu maisha yako, kuokoka utapata ufumbuzi wa mengi katika maisha yako.
Kama hauna ujasir mtafute mtu aliye okoka na mwenye maisha ya Ukristo ukusaidie katika hicho kifungo.
 
Habarini ndugu zangu natumaini ni wazima,

Nina muda mrefu tangu nianze kuota nafanya mapenzi usiku mpaka naandika uzi huu ni kutokana na jinsi jana nilipoota nafanya mapenzi na mwanamama aliekua amevalia nguo nyeusi kwa kweli nilienjoy kabisa kama nafanya mapenzi live.

Ndugu zangu nifanyeje niache kuota hivi ukizingatia mimi ni mwanamke halafu naota nafanya na wanawake wenzangu.
Wewe una ugumu wa mwanamume kama ungekuwa mwanamume hungeota ndoto hizo tafuta mwanamume akugegede. Vilivyo huwezi kuota tena hata mm nikipokuwa sijaowa nilikuwa naota kama hivyo au nikiwa safari ya muda mrefu bila kugegeda huota nagegeda hadi wazungu wanashuka mwaaaaa
 
daah fanya chochote kulingana na imani yako, kama muislam au mkristo tafuta viongozi wako wakusaidie kabla hayajazidi kuwa mabaya, kulikuwa kuna dada mmoja nnamfahamu alifanyiwa maombi kumbe ameshazaa na majini watoto watatu na wamegoma kabisa kumuachia mke wao, siku waliyomuachia alitoa vitu ukeni visivyoeleweka hadi mkaa ilitoka...kupuuzia ni dalili kubwa wameshakutawala akili yako kesho ukiamka fanya kitu
Sawa mkuu
 
pole kwa matukio yanayokupata. kwenye ulimwengu wa roho hilo ni jambo la kawaida na linamadhara kwenye ulimwengu wa mwili na hata kiroho pia. Mara nyingi majini huja kwa mtu kwa kuitwa au kutumwa au kujileta yenyewe hasa yakiona yatapata faida fulani kwako.

Yakuitwa yankuja kwa faida ya muitaji, mfano mtu anayaita kibiashara au kimapenzi au yafanikishe jambo fulani, pia ya kutumwa huja kufanikisha malengo ya mtumaji mfano kuiba nyota, kumfanya mtu ateseke, kuvunja ndoa, kuharibu kazi na mengine mengi kwani ulimwengu una mengi sawa na idadi ya wakaazi wake.

Hawa wanaokuja wenyewe ni wabaya zaidi, kwani huja kwa mtu kupata faida ambazo mtu huyo anazo kulingana na talent ambazo Mungu amemuumba nazo. mfano mtu ananyota kali kibiashara, ni mzuri wa sura/roho na anavutia sana au anaufahamu wa kipekee kwenye jambo fulani na wanajua akibaki nalo linaweza kuleta madhara baadaye kwenye ulimwengu wa roho, hasi hutuma hayo majini ili yaharibu na kumlinda mtu huyo asije fanikiwa.

Na mara nyingi humfanya mlengwa duni kimaisha, kimawazo na kuleta upweke. huongeza hasira, hufukuza marafiki muhimu na watu ambao wangekuwa msaada, pia kufeli masoma na maisha ni moja ya njia ambazo hutumika kudunisha maisha ya mtu, wakati mwingine mambo yaliyokuwa yanakwenda huanza kurudi nyuma. Pia huzuia mahusiano ya kimapenzi na wanadamu wengine.

Namna ya kuondokana nao wafukuze kwa damu ya YESU, kama huwezi nenda kwa mtu mwenye ufahamu wa mambo ya MUNGU atakusaidia. Pia achakufutilia mambo yenye hisia za kingono, kwani hata yakiondoka kwani yako ndani yako yanaweza kurudi tena. Mungu anatulinda muda wote, lakini tukiingia kwenye dhambi hutuacha na ndiyo hayo madude hupata nafasi.
shukran mkuu
 
Wewe una ugumu wa mwanamume kama ungekuwa mwanamume hungeota ndoto hizo tafuta mwanamume akugegede. Vilivyo huwezi kuota tena hata mm nikipokuwa sijaowa nilikuwa naota kama hivyo au nikiwa safari ya muda mrefu bila kugegeda huota nagegeda hadi wazungu wanashuka mwaaaaa
Sawa mkuu
 
Asante mkuu...kufanyiwa deliverance ya nini
Ni maombi ya kumtoa huyo adui wa kiroho, kurejesha uharibifu uliofanyika pamoja na kufundishwa namna ya kukaa katika ulinzi pia adui akikung'ang'ania ataadhibiwa vikali. Ni vyema ungesema upo wapi ili upate usaidizi uliopo karibu mapema.

Wengi wanakutana na hayo na wanasaidika
 
Wewe ni dini gani kama muislamu kuna duaa wakati wa kulala ukiamka kila tendo lina duaa
ndugu yangu nimepata kisomo cha ruqya leo huwez amini kuna vitu vinatembea ndani ya mwili kama mdudu pia nilihisi kuungua na kupoteza fahamu naomba mniombee mtanzania mwenzenu
 
Ni PM na wala hutakaa usikie upuuzi huo. Pia ningependa jua unakaa mji gani
 
Back
Top Bottom