Kati ya Marais waIiowahi kuongoza Tanzania hakuna wa kumfananisha na Mkapa katika nyanja za maendeleo. Mkapa alikuwa jembe. Fedha zilikuwepo, hakuna ukopaji usio na tija, alileta heshima Serikalini, Watumishi walikuwa hawalalamiki kama ilivyo sasa, bajeti ya Serikali ilitekelezwa kama...