Sijawahi kumfikisha mwanamke kileleni

Sijawahi kumfikisha mwanamke kileleni

pole sana kiongozi!! Nakumbuka ulilalamika hapa kuwa demu wako dizyn kama anakupotezea vile!...kumbe tatizo ni hilo?!!

Amahan mkuu! Naomba unijibu haya maswali ili nijue pale unapokosea
*unapokutana na mpenz wako , una hakika naye ameridhka kuitumia cku hyo na ww....unamlazimisha au mnaelewana?
*kabla hujakutana nae huwa mnakuwa na mawasiliano mazuri, mean kusameheana maudh yote na kubembelezana?
*mapenz ni ushirikiano!..je huwa una jaribu kumsoma mwenzio anakunwa zaid wapi?(hapa unahitaji kutalii mwili wake wote)
*unqtumia mda gani kumuandaa yaan romans mpaka ww kumwaga?

Mwisho nakusihi kabla hujakutana na mwanamke unatakiwa kurelax na wala husikurupuke hucfkirie haja zako kwanza, inatakiwa hujikatiri ww na umpendelee mwenzio....baada ya hapo kila kitu kitakuja chenyewe!

Pole sana kiongozi!!!!!
 
Kuna tofauti ya kukojoa na kufika kileleni,,,!!! Hivi vischana vidogo vinakojoleshwa tu! Anaeweza kufika kileleni ni Mwanawake Aliezaa akipata Mwanaume anaejua kz kuna Sehem ukimgonga hata likiwa SHANGINGI haliwezi kuendelea na GAME, so Mjadala unapoendelea ni muhimu watu wajue hizo tofauti hasa nyie maDOGO,,,,!!!

sikulijua hili kabisa.
 
tufaliongeza kwenye katiba.
haki ya wanawake kufikishwa kileleni
wakati ni sasa
 
Kuna tofauti ya kukojoa na kufika kileleni,,,!!! Hivi vischana vidogo vinakojoleshwa tu! Anaeweza kufika kileleni ni Mwanawake Aliezaa akipata Mwanaume anaejua kz kuna Sehem ukimgonga hata likiwa SHANGINGI haliwezi kuendelea na GAME, so Mjadala unapoendelea ni muhimu watu wajue hizo tofauti hasa nyie maDOGO,,,,!!!

ewaaaaah!!! hapo umeongea, watoto wanashindwa kutofautisha kukojoleshwa na kupiz. ukipiz mchezo huishia hapo hapo na hamu ya kuendelea humuisha mwanamke anachotaka ni mwanaume tu kupiz wamalize.
ila kukojoa kunaweza kukawa hata mara saba.
that means kwenye show moja, kabla mwanaume hajapiz mwanamke anaweza kukojoa mara za kutosha na kuhitimisha kwa kupiz ambako ndio kunaitwa kileleni yaani no more for now.
 
Tafuta kitabu au movie ya "Kamasutra" utajifunza mengi. Hakika ukiyazingatia utaweza
 
Orgasm vs climax. Wazungu wanatofautisha ila sie lugha yetu haijajikita huko
 
  • Thanks
Reactions: drb
Mkuu pole sana lakin ni tatizo la wengi lakin jaribu yafuatayo
kufika kileleni ni ushiriki kati ya mwanamme na mwanamke ambo kwa pamoja huhamasishana wanapokua kunako uwanja wa mapambano, kwa mwanamke lazma ufaham maeneo yake ya ashki kisha uyafanyie soft touching and plain touching maeneo hayo ni kwanza yale ya nje kama
1. Masikion mwake 2. Ktk chuchu zake 3.ktk viganja vyake vya mikono 4. Shingoni kwa nyuma 5. Ktk hips zake 6. Kucha zake za miguuni 7. Kistari cha mgongo wake 8. Mapaja yake 9. Ktk miisho ya miguu yake 10. Kitofuni kwa ndani kama kitofu chake kimebonyea ndani 11. Makalio yake 12. Nywele zake hapa mikono yako lain na ulimi wako ulio mkavu kias huhusika sana kuziamsha hisia za mwanamke wako
 
Hapo huambatana na kissing pamoja na lovetouch stories kwa sauti yako ya kiume ambapo hiyo itaongeza kasi ya mapigo ya moyo kwa mwanamke wako huku akiendelea kutamani ahadi ya penzi lako murua
 
Maeneo mengine ni yale ya ndani mwa uke wa mwanamke yaani zile G sport, C sport, U sport ambazo unatakiwa kuzifaham na kuzigusa mara uwapo uwanjani . Lkn pia tumia dole gumba lako kusugua clitoris yake na usisahau kuchuchukua nambatisa wako/uume/ mshambuliaje aliesimama vyema na kusugua maeneo ya uke kwa ustadi na uhodari mkubwa hapa utaendelea kuongeza mhemko wa kichuna wako
 
Angalia pia style mnayotumia isiwe ndo hyo hyo kila cku nayo hii hukinai zipo style kama nane zisizo umiza ambazo humfanya mwanamke kuhisi raha ya penzi unatakiwa kuzifaham pia
 
Usafi wa mwili wako nao unatakiwa kua nadhifu usafi wa mwili mzima na kinywa chako safisha kwa ustadi mkubwa ili usitoe harufu mbaya ya kuudhi kwani nalo hili ni tatzo laweza kumuudhi mwanamke ashindwe kua na hisia na wewe, lkn kubadili uwanja wa mechi yani usizoee kuchezea uwanja mmoja kila siku hapana
 
Kwanini humfikishi? Tuanzie hapo kwanza. Obvious sio intention yako ndio maana inakukwaza.
 
Mkuu pole sana lakin ni tatizo la wengi lakin jaribu yafuatayo
kufika kileleni ni ushiriki kati ya mwanamme na mwanamke ambo kwa pamoja huhamasishana wanapokua kunako uwanja wa mapambano, kwa mwanamke lazma ufaham maeneo yake ya ashki kisha uyafanyie soft touching and plain touching maeneo hayo ni kwanza yale ya nje kama
1. Masikion mwake 2. Ktk chuchu zake 3.ktk viganja vyake vya mikono 4. Shingoni kwa nyuma 5. Ktk hips zake 6. Kucha zake za miguuni 7. Kistari cha mgongo wake 8. Mapaja yake 9. Ktk miisho ya miguu yake 10. Kitofuni kwa ndani kama kitofu chake kimebonyea ndani 11. Makalio yake 12. Nywele zake hapa mikono yako lain na ulimi wako ulio mkavu kias huhusika sana kuziamsha hisia za mwanamke wako

kwanza nashukuru sana mkuu!
umegusia vitu muhimu sana...ila umeniacha hapo kwenye ulimi mkavu, samahani lakini!!
 
Yaani wewe malengo yako kwa maisha ni kuwafikisha wanawake kileleni......kwa mwendo huu sishangai kuwepo umasikini huko mliko......yaani hata uvumbuzi haukuingii akilini?......tafuta shughuli itakayo jenga maisha yako na kuleta maendeleo kwa taifa lako ili ukumbukwe kwenye historia.
 
Natumaini jumapili ni njema kwenu wote.,
nimekuwa nikikumbwa na tatizo la kutomfikisha mwanamke kileleni
naombeni mnipe maujuzi ili niweze kumfikisha mwanamke yeyote yule kileleni.,

pole na tatizo lako mkuu...
kwanza ja swal la kilelnini aandalizi yako binafsi na hal ya kisaikolojiaya mwenzio
jaribu ku balance hivi viwili tutarudi tena

ka ku balnce hujanisoma napo niambie nikudadafulie hapa chap
 
Anayetakiwa kujua ni mwanamke. Wewe ulijuaje kuwa hujamfikisha kileleni?.
 
Akae tu na mkewe waambizane.....huduma nayopewa mm inaweza isimfae mkewe...amuulize tu akishikwa wap anashikika mazungumzo muhimu

We mpe tu somo...ataamua mwenyewe kama linamfaa au vipi. Hutaki mkewe afaidi kama wewe unavyofaidi?!
 
Back
Top Bottom