Tarime tarime

Tarime tarime

mji upo salama,matukio unayoyasikia yapo vijijini zaidi.NDIO MAANA KUNA Taasisi na watu wanaendelea na maisha kama kawaida.

Unayoyasikia,mengine yanakuzwa na vyombo vya habari ili wauze magazeti.UKITOKA BAADA YA SHUGHULI ZAKO UTANIKUWA SHAHIDI WA UTULIVU ULIOPO.!!!!
Mag

azeti, na yule mama aliyeuawa juzi anakwenda mtoni (though ni Musoma mjini) ni kuuza magazeti? Acha rafiki, tarime lazima kuchukua taadhali!
 
Watumishi wengi waliopo kwenye majeshi wala hawataki kupasikia huko Tarime.
 
Sawa ndugu ila habari ya Tarime watu wengi wanajua haina haja kujadili sana, lakini hata uongozi wetu wetu wa juu unalifahamu hilo ushahidi ni juzi tu, waziri alitamka kwa kinywa chake kwamba kama sakata la gas Mtwara lingetokea Mara (Tarime) sijui ingekuwaje? Huo ni ushahidi tosha wa kutilia shaka jamii hiyo.
Hiyo ya kusema jamii ya Wakurya ni wakarimu hiyo ni issue tofauti kwani mkarimu pia anaweza kuwa katili.
Lakini mimi ninachofahamu kuwa ni wajeuri na wakatili hali kadharika ni jeuri sana.
Ushahidi. Kila siku kitunda na majumba sita (Ukonga) wakurya wanagingwa na magari wakiwa wamebeba mayai kwenye baiskeli kwa ajiri ya kiburi na jeuri, wanadhani kila mtu anawafahamu wao ni wakurya kwa hiyo ni watu wa kuogopeka, matokeo yake wanapoteza maisha.
Huo ndio ukweli, kwa tabia hiyo ndio maaana tunapenda wafanye kazi kwenye majeshi. Mkurya original hana lugha ya upole wala ukarimu hana neno kuomba ana neno lete/nipe.

Tuna misimamo yetu kwa mambo ya msingi lakin ssi siyo watu tunaochukua maamzi ghafla ya kufanya unyama bila kuwepo sababu iliyopelekea na kingine ukijue atupendi dhalau
 
Tuna misimamo yetu kwa mambo ya msingi lakin ssi siyo watu tunaochukua maamzi ghafla ya kufanya unyama bila kuwepo sababu iliyopelekea na kingine ukijue atupendi dhalau[/QUOTE
Hiyo misimamo yenu ndio inakuwa tatizo kwenye jamii nyingine, msimamao wa kumtia mwenzio ulemavu mwenzio kwa sababu ya kuku, aisee hapo hapana. Sijui hata wewe kama hiki kitendo kinakufurahisha, assume aliyekatwa mikono na kuunguzwa mikono ni dada yako!
 
Du for me, hakuna eneo ambalo linatia shaka kuishi kama Tarime ni bora ukafuata ushauri wa kwamba ukienda huko starehe zote weke pembeni, hawo jamaa wamekuwa kama nini sijui mauaji ni sehemu ya tamaduni zao, kwa bahati mbaya ukachukua demu wa mtu kifo nje nje, ukatofautiana kidogo na mtu umekwisha, kama wenyeji wanafanyiana hivyo inakuwaje kwa mgeni, sio sehemu ya kuishi otherwise umelazimishwa kwenda kikazi, mimi nilikuwa na mpenzi wangu wa huko baada kupata matukio ya huko nimeshamuweka pembeni sipendi kabisa kuchangamana na hii jamii, kwa sababu naweza kukolofishana naye shemeji zangu wakaja kuniua bure, sometimes wana hulka ya kuua mtu with minor reasons, na kusema vyombo vya habari vinakuza sio kweli kwa sababu tunaona matukio kwa picha na watu tunaona walivyojaa kuangalia tukio. Haiingii akilini kwamba kweli vyombo vya habari vinakuza. Na hayo ni matukio machache ambayo tunayasikia, nakumbuka kuna mwanamke mmoja alikatwa mikono kwa sababu ya kuachia kitoweo (Kuku) kuliwa na paka.

haupo sahihi,tarime ni tofauti kama unavyodhani,binafsi nilikuwa napaogopa sana lakini mwaka juzi nimekaa tarime almost a year kuna tofauti kubwa sana na unayoyasema,just go and see
 
chonde chonde!!!achana kabisa na totoz za tarime,huchelewi kugechwa ukizifukuzia!!!
 
Goldland kwa kweli pamechoka na hakuna renovation inayofanyika. Vyumba vimechoka ila hawajambo kwenye breakfast. Mtafute Chacha Nyamete akupeleke kwenye maeneo ya makulaji. usitembee usiku kuanzia saa mbili wananchi na vijana wachache ni wakorofi. Nakuhakikishia kuwa hakuna watu waungwana kama wana Tarime. Tatizo tu umchokoze, umdhulumu, akupe rushwa ili umtimizie jambo fulani na ushindwe kumtimizia hasa kwa mapolisi, mahakimu, viongozi hapo patachimbika.
 
Goldland kwa kweli pamechoka na hakuna renovation inayofanyika. Vyumba vimechoka ila hawajambo kwenye breakfast. Mtafute Chacha Nyamete akupeleke kwenye maeneo ya makulaji. usitembee usiku kuanzia saa mbili wananchi na vijana wachache ni wakorofi. Nakuhakikishia kuwa hakuna watu waungwana kama wana Tarime. Tatizo tu umchokoze, umdhulumu, akupe rushwa ili umtimizie jambo fulani na ushindwe kumtimizia hasa kwa mapolisi, mahakimu, viongozi hapo patachimbika.

Samahani mkuu... Si uwe unasoma hata tarehe ya post???
 
Back
Top Bottom