Kuna nini kati ya Mkapa na Kikwete?

Kuna nini kati ya Mkapa na Kikwete?

Kikweke sio JK maana kuna JK mmoja tu Tanzania ambaye ni Julius Kambarage Nyerere!!
Sasa Kikwete anaposema anamajina ya wauza unga ila hataki kuwataja!!
Aliposema wezi waliokwapua mpunga Wa EPA anawapa mda warudishe mpunga!!
Juzi wakati anahojiwa na BBC alisema anawajua wauaji wa tembo wetu alipoambiwa wataje akagoma!! Huo kwa werevu wako unauitaje????

Watanzania mnapenda sana kuhis mambo,mkapa n mgonjwa anaumwa GOITRE kwaiyo hakuweza kufika kwa maradh leo nyie manasema bifu achen umbeya mbona salimin ahmed hajakuwepo,viongoz wangap waloalikwa hawajakuwepo,achen hayo mambo ya ben kinyaiya
 
jk ni kiongozi safi, hawezi kukaa na mkapa fisadi

Wote ni mafisadi fulani hivi sema kitabia na misimamo wapo tofauti mkapa anacheza kwa akili ana haiba za kiongozi anajua nini kifanywe au kisemwe wapi na kikubwa ana maamuzi yawe mazuri au mabaya na atleast yeye alikula na kutuachia vingi vinavyoonekana tunasema rais huyu kufanya moja mbili tatu... .kikwete kajaa uswahili mzaha kashfa maskendo hana maamuzi anaongoza kwa kuchekesha watu ktk majukwaa wakicheka basi siku kwake imekuwa njema. Anakula vya nchi hatuoni chochote lawama kutoka kwa wananchi haziishi.
Mkapa na jk hawawezi kufit chungu kimoja jata siku moja
 
Wote ni mafisadi fulani hivi sema kitabia na misimamo wapo tofauti mkapa anacheza kwa akili ana haiba za kiongozi anajua nini kifanywe au kisemwe wapi na kikubwa ana maamuzi yawe mazuri au mabaya na atleast yeye alikula na kutuachia vingi vinavyoonekana tunasema rais huyu kufanya moja mbili tatu... .kikwete kajaa uswahili mzaha kashfa maskendo hana maamuzi anaongoza kwa kuchekesha watu ktk majukwaa wakicheka basi siku kwake imekuwa njema. Anakula vya nchi hatuoni chochote lawama kutoka kwa wananchi haziishi.
Mkapa na jk hawawezi kufit chungu kimoja jata siku moja

barabara na miundo mbinu inayojengwa na kikwete huioni? au unaishi kuzimu nini
 
Wote ni mafisadi fulani hivi sema kitabia na misimamo wapo tofauti mkapa anacheza kwa akili ana haiba za kiongozi anajua nini kifanywe au kisemwe wapi na kikubwa ana maamuzi yawe mazuri au mabaya na atleast yeye alikula na kutuachia vingi vinavyoonekana tunasema rais huyu kufanya moja mbili tatu... .kikwete kajaa uswahili mzaha kashfa maskendo hana maamuzi anaongoza kwa kuchekesha watu ktk majukwaa wakicheka basi siku kwake imekuwa njema. Anakula vya nchi hatuoni chochote lawama kutoka kwa wananchi haziishi.
Mkapa na jk hawawezi kufit chungu kimoja jata siku moja

we iron lady lazima utakuwa ni jini
 
we dem una matatizo ya akili, wahi milembe ukatibiwe haraka kabla hujaanza kutembea uchi barabarani

Shika adabu wewe usidhani kutukana watu ndio ushindani wa hoja au ukomavu wa lugha uliyojifinza juzijuzi huwezi bishana kistaarabu.ushenzi wako wa kitoto utawafaa zaidi watoto wenzako.
Na akili zako zilivyo ndogo watembea uchi wote siku hz barabarani pamoja na girlfriend wako kwa kujidanganya usasa mbona hawaendi milembe?
 
barabara na miundo mbinu inayojengwa na kikwete huioni? au unaishi kuzimu nini

Hiyo inayorudiwa kila kukicha kwa kushindwa kusimamia vyema viongozi wanaopewa dhamana kwa kuchakachua pesa za wananchi?
Haya zaidi ya miundo mbinu kafanya nini tena? Ukilinganisha na ya ben
 
Shika adabu wewe usidhani kutukana watu ndio ushindani wa hoja au ukomavu wa lugha uliyojifinza juzijuzi huwezi bishana kistaarabu.ushenzi wako wa kitoto utawafaa zaidi watoto wenzako.
Na akili zako zilivyo ndogo watembea uchi wote siku hz barabarani pamoja na girlfriend wako kwa kujidanganya usasa mbona hawaendi milembe?

ha ha mbona umepanic sana dada? unaishi tanzania kweli? yani barabara zote na shule zilizojengwa na kikwete huzioni? umeona ya mkapa tu? hujielewi dada
 
Hiyo inayorudiwa kila kukicha kwa kushindwa kusimamia vyema viongozi wanaopewa dhamana kwa kuchakachua pesa za wananchi?
Haya zaidi ya miundo mbinu kafanya nini tena? Ukilinganisha na ya ben

kweni ben alifanya nini zaidi ya kuibinafsisha nchi kwa wazungu na kufanya ufisadi?
 
kweni ben alifanya nini zaidi ya kuibinafsisha nchi kwa wazungu na kufanya ufisadi?

Ila huyu jk anavyokula nchi na mwanae na rafiki zake kwa kuwaweka ktk sehemu nyeti na huku wakitafuna pesa za mtanzania na kushindwa kuwawajibisha kila kukicha kwako si ufisadi.kupeana tenda za serikali kila kukicha pasipo ufanisi wa kazi. We unafikiri wanayofanya kina kinaa jk hajui, unga?
Labda uniambie ben alikuwa anakula peke yake huyu mnampenda kwa vl anakula na mashosti
 
Wote ni mafisadi fulani hivi sema kitabia na misimamo wapo tofauti mkapa anacheza kwa akili ana haiba za kiongozi anajua nini kifanywe au kisemwe wapi na kikubwa ana maamuzi yawe mazuri au mabaya na atleast yeye alikula na kutuachia vingi vinavyoonekana tunasema rais huyu kufanya moja mbili tatu... .kikwete kajaa uswahili mzaha kashfa maskendo hana maamuzi anaongoza kwa kuchekesha watu ktk majukwaa wakicheka basi siku kwake imekuwa njema. Anakula vya nchi hatuoni chochote lawama kutoka kwa wananchi haziishi.
Mkapa na jk hawawezi kufit chungu kimoja jata siku moja
mh sa nyingine kumbe kichwa kinatulia unatoa vitu hahaaa nimekukubali mama
 
Kati ya Marais waIiowahi kuongoza Tanzania hakuna wa kumfananisha na Mkapa katika nyanja za maendeleo. Mkapa alikuwa jembe. Fedha zilikuwepo, hakuna ukopaji usio na tija, alileta heshima Serikalini, Watumishi walikuwa hawalalamiki kama ilivyo sasa, bajeti ya Serikali ilitekelezwa kama ilivyopangwa, fedha zote za maendeleo zilipelekwa kama zilivyopangwa na aliogopwa kwa msimamo wake wa haki. Upungufu alikuwa nayo lakini hakuna binadamu asiye na mapungufu. KWELI MKAPA ALIKUWA JEMBE.
 
mh sa nyingine kumbe kichwa kinatulia unatoa vitu hahaaa nimekukubali mama

Mwala wapi mimi umeniona mcharuko mkuu? Siku zote mi mstaarabu sana na ndivyo nilivyo ila kuna wakati watu huwa wana maudhi
 
Back
Top Bottom