Madini kuingiza 1.9% katika mfuko wa taifa,naona kama mzaha tu,kheri mara kumi wangewachia akina Masanja,Mwita na Mangi waendelee na uchimbaji mdogo,wangeweza kulipa kodi zaidi ya hiyo 1.9,kuliko kuachia hawa akina Brown,huu ujinga gani jamani,sasa akina Kingwendu wanadai hawajui kwa nini...