Recent content by BroJay4

  1. B

    Wana-JF: Ujumbe Mzito Toka Serikali!

    Hatuwezi kupangiwa na serikali ni kitu gani cha kujadili na ni kipi si cha kujadili.Huu ni upumbavu na ukosefu wa akili timamu,ukishakubali kuwa kiongozi kubali na kubeba msalaba wake,sisi ndiyo waajiri wenu,mnaboronga halafu mtupangie cha kuongea,Yaani Tanzania imekua ni nchi inayokumbatia...
  2. B

    Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

    Huyo Balozi Kazaura ni mwoga anaogopa mafisadi.Akikataa kuwa hajatamka ataletewa tape,watanzania wamechoka..Unaogopa nini ,Lowassa sasa ni mbunge tu,RA hana nguvu,maana tushakata tawi lake moja.
  3. B

    Nini Hatma ya Upinzani Tanzania?

    Mie sielewi point yako ipo wapi?Unamaanisha wananchi wasiviunge mkono vyama vya upinzani kwa sababu vyote vipo kwenye system?Je njia mbadala ni ipi?Kwa nini usianzishe chama chako kisicho kwenye system ili utuonyeshe mfano?
  4. B

    KENYA: Mgombea UPINZANI ashinda USPIKA

    Hapo ndipo unapoambia chagua kusuka au kunyoa,huyu Kibaki katuboa kinoma.Tunaomba spika amuapishe Odinga na siyo huyu dictator Kibaki.ODM oyeeeeee.
  5. B

    Kumbe CHADEMA haina imani na Zitto!

    Nilifikiri huo ujumbe umeandikwa na Zitto, kumbe ni tapeli Hiza, halafu huyu mtu wa Pwani, naona hana kazi ya kufanya, yaani kutwa na usiku amekalia majungu tu, aone wapi wamezungumza mambo ya CHADEMA, ili alete kijiweni. Huyu jamaa wa wapi? Kaa ukijua kuwa kinachoendelea nchini, ni zaidi ya...
  6. B

    Waziri Mkuu Canada atonesha kidonda cha madini Tanzania

    wananchi tukisema,tunaambiwa tuna wivu.Sikieni hayo sasa,yaani inatia kichefuchefu.
  7. B

    Lusekelo anakata tawi alilokalia?

    Huyu Lusekelo makala zake zina busara,no spinning,yupo wazi na haogopi kutoa dukuduku lake,tunahitaji watu kama hawa katika kuleta changes.
  8. B

    Ni kweli Hazina hakuna Pesa?

    kuna tetesi hazina hamna kitu,muungwana na baraza lake la mpasuko,washakomba kila kitu.
  9. B

    Why Kibaki will win 2nd term

    in this election i don't think Kenyans gonna vote for president based on tribalism and regionalism.i think people want a good president,who gonna bring changes in the country.Raila has a very big chance to win this election,lets wait.
  10. B

    News Alert: Wananchi wachomewa nyumba na serikali

    duh,kumbe hata mkuu wa gereza ana amri kubwa kiasi hicho?kweli hii ni bongo,hao wamaasai kuwa huko wanakoishi hamna winter kama la wenzetu huku,mbona wangekufa kwa baridi,sijui kuhusu mvua,ila Mungu atawalinda,ccm tunaichagua wenyewe sasa tufanyeje.
  11. B

    Ukweli kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi

    viongozi wamehamishia akili zao zote kwenye madini,hamna mtu mwenye time na maji,hawajui hayo maji ndio uhai.
  12. B

    Jinsi wageni watakavyo leta vita Tanzania!

    Kuna wanigeria nawafahamu wana passport za tanzania,baada ya kuwa wamekataliwa kwenda ughaibuni kwa passport za nchini kwao,basi wanakuja bongo,na kupata passport kilaini.Hakuna nchi yenye system mbovu ya uongozi katika dunia kama Tanzania.
  13. B

    Tanzania earning 1.9 in mines!

    Madini kuingiza 1.9% katika mfuko wa taifa,naona kama mzaha tu,kheri mara kumi wangewachia akina Masanja,Mwita na Mangi waendelee na uchimbaji mdogo,wangeweza kulipa kodi zaidi ya hiyo 1.9,kuliko kuachia hawa akina Brown,huu ujinga gani jamani,sasa akina Kingwendu wanadai hawajui kwa nini...
  14. B

    Inawezekana matatizo ya nchi ni makubwa kuliko tunavyodhani: Immanuel Didas, apasuliwa kichwa badala ya mguu MOI

    OOH,MUNGU WANGU,i can't believe this,yaani ni maumivu wanayoyapata hao ndugu zetu ni makubwa.Huu uzembe gani jamani,hapana hii imezidi,kweli Tanzania tuna matatizo mengi,tunalaumiana kwenye siasa weee,na wataalam wetu ndo kabisa,unajua baadhi ya madaktari ni walevi,wengine wanavuta bangi,wengine...
  15. B

    Hivi Rais wenu ana pesa kuliko nyie Watanzania na Tanzania ?

    Watanzania bado tumelala usingizi,bado tuna ndoto za kuwa vyama vyingi ni vita.Yaani umenigusa kweli ndugu yangu,ccm ndio chanzo cha matatizo tanzania,just imagine 42yrs in power but nothing has been done yet,Kenya japo kuna ukabila lakini nawakubali sana,KANU ilipigwa chini,na kipindi hiki...
Back
Top Bottom